Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndyooo wewe apo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na kwenda sio kwasababu nna Nia ya dhati ya kufumania kwann alifaywa,We mwenyewe ulisema wakianza kudo utaenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Aaah wapi, mi sijafikia level ya mtoa mada[emoji4]Ndyooo wewe apo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh![emoji848]Huyu ndo mwanamke sasa[emoji122][emoji122][emoji122]
Wanaokutukana wanakosea sana, Unapaswa kushauriwa
Kuna Watu humu wanajiona wasafi Sana, wengine wote wanahatia.
Haifai kuhukumiana namna Hii,
Tujifunze kuheshimu mawazo ya mtu.
Mtoa mada nakuomba urelax,
Wenye Michepuko wenzio tupo wengi humu.
TUTAKUSHAURI VEMA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajifunze kujua na kustick kwa kilichompeleka kwa uyo Mchepuko.
Kama kafata good sex, aangalie hicho TU
Ayo mengine aachane nayo, yatampa shida[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahah hatimaye mtunga katiba wa chama cha micheps umetia neno
Uyo Mchepuko Ni mstaarabu sana na anajua Wewe Ni potential, Kuna kesho Unaweza kua mtu tofauti.Dah afadhali aisee nimepata mtu wa kunitetea maana huku wote wananiona mimi fala boya.
Sema sasa huyu mchepuko wangu ninachompendea mainly sio sex wala, she cheers me up when am down. Ana story kinoma na ananifanya nisahau stress zangu kitu ambacho kwa mke wangu sikipati…..nikiwa nae hata kama sina pesa ataniambia lets go somewhere tukae tupige story bila hata kula, sometimes mazingira kama hayaruhusu ananiambia hata tukae kwenye gari tupige nae story tu siku inaisha namrudisha kwao.
Hapa ninavyoongea sina kazi rasmi inayoniingizia kipato mwaka wa nne huu, na huyu mchepuko wangu has been there ups and downs….na kiukweli sio kwamba eti huwa nampa pesa au namuhonga in any way, kitu ambacho naweza count kuwa anakipata kutoka kwangu ni misosi tu tena ya kawaida sana ambayo ikifika muda wa kula nakula pamoja nae.
Tunahakikisha hatupotezi mwanachama mkuu[emoji4][emoji120]Hahah hatimaye mtunga katiba wa chama cha micheps umetia neno
Tuliza jazba mkuu ushakula limbwataSawa endeleeni kunitukana na kuniona mimi mjinga,
Nina uhakika wanaume wengi wanapatwa na hii hali sipo peke yangu.
Na nyie mnaosema kuwa ukimwi hauwezi isha kwa style hii kafieni mbele sijaja kuomba ushauri wa afya hapa mimi
Daaah. Hili nalo linahitaji ushauri?Hivi wadau nimejikuta nimekwama kwenye penzi la mchepuko kiasi kwamba nina wivu nae sana.
Nina mke na watoto, huyu mchepuko nilianza nae kitambo kidogo miaka ya nyuma na hatukuwa serious kihvyo ila sasa tunakoelekea dah nashindwa hata kuelewa.
Huyu mchepuko kakubaliana na hali halisi kuwa mimi nina familia yangu, na kwasababu hiyo basi na yeye ana mahusiano yake(ana mabwana zake).
Sasa ugomvi unaotokana na wivu unatokea pale mchepuko wangu nikagundua kaenda kwa hao mabwana zake kwakweli najisiki kuchanganyikiwa na navurugwa kiasi kwamba nahamishia ugomvi kwa wife na watoto, mara nyingine akainikasirisha jnakuta mke wangu ananiuliza nina shida gani lakini kwakuwa siwezi kuelezea kuwa tatizo ni mchepuko basi namuwashia hasira na yeye.
Huyi mchepuko nishamuomba aachane na hao mabwana zake hataki kabisa kusikia ananiambia mimi na yeye tunafanya for Fun sasa hawezi kuwa na mahusiano seriously na mimi kwasababu nina mke tayari.
Na akienda kwa mabwana zake huwa haniambii kwahyo nabaki hohehahe simu hapokei msgs hajibu, kwakweli nimechangangikiwa kabisa
Naombeni ushauri wenu wadau