Ninaapa Haki Ya....!

Ninaapa Haki Ya....!

Pettymagambo

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2017
Posts
1,490
Reaction score
8,227
Ninaapa Mbele Ya Mbingu Na Ardhi Pamoja Navilivyomo Kwamba- Hawa Jamaa Wanaojiita Wakimataifa Ambao Masaw Bwire Amewananii Square Hatakama Wangecheza Dhidi Ya Majambaz, Basi Niuawe Tu Baada Ya Game! Maana Nitakua Upande Wamajambazi Tena Jambaz Kubwa Lao! Na Wakicheza Nawachawi Mie Nitakua Lichawi Tena Lamchana Kweupe Peeee! Nipo Tiari Kukatwa Mapanga! Na Yanga Akicheza Nawaongo Fc Nitakua Kiongozi Wa Waongo! Naapa.
 
Back
Top Bottom