Ninachoendelea kujifunza kwenye sakata la Ajibu

Tutafika mkuu , kila kitu kina hatua, baada ya miaka kadhaa mbele tutakuwa the same
Kusema kweli mmekua ila level za mazembe mkuu,mbali sana,
Hivi mnaweza kugombania mchezaji mmoja na Tp alaf aje kwenu agome kwenda kwa mazembe,bado sana ila atleast mna uelekeo mzuri
 
Kwa mtu yeyote yule ambaye upstairs yuko sawa hawezi kupoteza chance ya kuchezea mazembe, hii imenikumbusha kipindi kile Mrisho Ngasa yuko on fire akakataa kujiunga na El merekh ya Sudan,huwa sijui wachezaji wa nchi yetu wanawaza nini kwenye vichwa vyao.
 
Siku Simba wakimchukua Kakolanya nitaenda kukesha kanisani nikimshikuru Mungu
 
Mkuu, unamaanisha tp mazembe ikiweka dau kwa mchezaji anayecheza esperence na simba akaweka dau lake , huyo mchezaji anaweza kuikacha tp mazembe ?

Ki uhalisi ajibu angepata wasaa mzuri zaidi Wa kujifunza na kukua tofauti kabisa na simba .

Yale Yale ya ngasa kugoma kwenda El merreck ya Sudan kisa tu mahaba na yanga
 
Mnaota? Kwa kutegemea waswahili kama kina Haji hamfiki huko kamwe! Mo ana malengo mazuri ila atakwamishwa na wapiga dili wanaomzunguka!
 
Watu wengine bwana, analalamika Ajib kurudi Simba eti nauzika sana .
Utazani anatoa hata 100 ktk usajili au bill yoyote ile.
 
Ajibu alipokuwa simba haijawahi kuchukua kombe lolote, amekuja yanga tumekosa kombe lolote, bora arudi zake simba huku yanga alikuwa anatuwekea mkosi wa kukosa makombe
Mwenye mkosi ni Yanga sio Ajibu
 
simba ijenge kwanza uwanja wake isitegemee wa serikali, simba itwae champions league mara 5, simba inunue ndege yake... hapo ndio mseme simba ipo level sawa na mazembe

 
Hivi Ajibu akituambia kachezeni nyie. . Tutamjibu nini?
 
Ukigongwa siku umelewa unakuwa msenge kutegesha kinachofata wewe ni shoga wa kificho hivi timu ya utapeli uifananishe na TP Mazembe
 
Hahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…