Ninachoendelea kujifunza kwenye sakata la Ajibu

Ninachoendelea kujifunza kwenye sakata la Ajibu

Tutafika mkuu , kila kitu kina hatua, baada ya miaka kadhaa mbele tutakuwa the same
Kusema kweli mmekua ila level za mazembe mkuu,mbali sana,
Hivi mnaweza kugombania mchezaji mmoja na Tp alaf aje kwenu agome kwenda kwa mazembe,bado sana ila atleast mna uelekeo mzuri
 
Kwa mtu yeyote yule ambaye upstairs yuko sawa hawezi kupoteza chance ya kuchezea mazembe, hii imenikumbusha kipindi kile Mrisho Ngasa yuko on fire akakataa kujiunga na El merekh ya Sudan,huwa sijui wachezaji wa nchi yetu wanawaza nini kwenye vichwa vyao.
 
Siku Simba wakimchukua Kakolanya nitaenda kukesha kanisani nikimshikuru Mungu
 
Hapa usiwasingizie mazembe
Huyu dogo fundi ajibu ni kipenzi cha mo
Kama zengwe limetengenezwa na simba
Moo kafika dau kubwa kamshawishi dogo
Ikabidi aachane na mazembe kwa kisingizio
Cha kushindwa kukubaliana maslahi binafsi na mazembe. na Mimi sioni ajabu hata alivyokaa
Kama ni level sasa ivi simba inakimbilia kuwa leval ya timu kubwa kama mazembe

Na ndomana sasa hivi mchezaji atayetakwa
Na simba ni ngumu kuchomoa awe wa ndani ama wa nje.

Mimi namkaribisha kabisa kwa mikono miwili. cc Shadeeya
Mkuu, unamaanisha tp mazembe ikiweka dau kwa mchezaji anayecheza esperence na simba akaweka dau lake , huyo mchezaji anaweza kuikacha tp mazembe ?

Ki uhalisi ajibu angepata wasaa mzuri zaidi Wa kujifunza na kukua tofauti kabisa na simba .

Yale Yale ya ngasa kugoma kwenda El merreck ya Sudan kisa tu mahaba na yanga
 
Wanaelekea huko ndugu, hata mbuyu ulianza kama mchicha, malengo makubwa ya simba kubadili mfumo ni ili kufikia huko waliko hao mazembe na timu nyingne kubwa africa, mpira ni malengo , maendeleo pia ni malengo !!! After 3 au 4 years ndio utakuja ona nini mana ya smba kutaka kuwa level moja na hizo klabu kubwa
Mnaota? Kwa kutegemea waswahili kama kina Haji hamfiki huko kamwe! Mo ana malengo mazuri ila atakwamishwa na wapiga dili wanaomzunguka!
 
Watu wengine bwana, analalamika Ajib kurudi Simba eti nauzika sana .
Utazani anatoa hata 100 ktk usajili au bill yoyote ile.
 
Ajibu alipokuwa simba haijawahi kuchukua kombe lolote, amekuja yanga tumekosa kombe lolote, bora arudi zake simba huku yanga alikuwa anatuwekea mkosi wa kukosa makombe
Mwenye mkosi ni Yanga sio Ajibu
 
simba ijenge kwanza uwanja wake isitegemee wa serikali, simba itwae champions league mara 5, simba inunue ndege yake... hapo ndio mseme simba ipo level sawa na mazembe

Hapa usiwasingizie mazembe
Huyu dogo fundi ajibu ni kipenzi cha mo
Kama zengwe limetengenezwa na simba
Moo kafika dau kubwa kamshawishi dogo
Ikabidi aachane na mazembe kwa kisingizio
Cha kushindwa kukubaliana maslahi binafsi na mazembe. na Mimi sioni ajabu hata alivyokaa
Kama ni level sasa ivi simba inakimbilia kuwa leval ya timu kubwa kama mazembe

Na ndomana sasa hivi mchezaji atayetakwa
Na simba ni ngumu kuchomoa awe wa ndani ama wa nje.

Mimi namkaribisha kabisa kwa mikono miwili. cc Shadeeya
 
Hivi Ajibu akituambia kachezeni nyie. . Tutamjibu nini?
 
Ukigongwa siku umelewa unakuwa msenge kutegesha kinachofata wewe ni shoga wa kificho hivi timu ya utapeli uifananishe na TP Mazembe
 
Mkuu ukute hata hujui klabu ya simba inaendeshwaje au wananunuaje wachezaje lakini unakua kimbelembele kupayuka mara tununur nan mara tuacje nan utafikiri hela za usajili unatoawewe.
Hapo ulipo ukute life lako linakushinda lakini unataka umpangie Ajibu life lake, really?
Mind your business bro.
Hahahahahaha
 
Back
Top Bottom