Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
Nikisoma habari za huyu bwana mdogo naishia kucheka tu.
Mfano ukichukulia mchezaji Samata, nawaza samata angekua na demand kubwa na kujiona yeye ni staa sidhani kama angekua hapo alipo, wakati anaenda Tp Mazembe aliona ni njia pekee ya yeye kufika mbali kimataifa na kwenda ulaya, kwahio kitu muhimu katika maisha ni kujishusha na kukubali kile ambacho kwa wakati huo unakipata ama utaenda kukipata kwa malengo ya kwamba one day thamani yako itazidi kukua na itaonekana tu.
Tp mazembe ni klabu kubwa na ina program na mipango madhubuti, sasa nashangaa sana mtu ambaye anatoka tanzania kwenye timu tena iliyo kwenye matatizo makubwa kwa sasa, anashindwa kukubaliana masharti binafsi. Hapo hakuna lingine ninaloliona zaidi ya vitu viwili, kwanza selfish na kujiona wewe ni mkubwa sana hata zaidi ya Tresor Mputu, ina mana kweli Tp Mazembe klabu kubwa inashindwa kukubaliana masharti binafsi na mchezaji? Nasema hapana, shida kubwa iko kwa mchezaji, kujiona staa na ku demand vitu vikubwa ambavyo kama ungekua loyal vingekuja tu huko mbele mana mikataba hua inaboreshwa. Hapa ndipo tunapoona umuhimu wa wachezaji kua na MANAGERS.
Kingine ni usimba na uyanga, mchezaji anaona wenzie wnaakula shushu na yeye anaona ni haki yake naye awepo hapo, wakati anaondoka vilisemwa vijembe vingi sana mpaka ikafikia hatua akifunga anavua shati anaenda kuwaonesha mashabiki wa simba jezi namba kumi..
Sasa leo hii anaona kule kutamu, mbinu zinasukwa ili arudi, alikua wapi wakati simba tuna struggle kujitoa wakati huo tunaitwa simba wa matopeni,/michangani?? Binafsi ningekua Aussems nisingemsajili kabisa. Nawapongeza pia Tp Mazembe kwa kubwaga manyanga, tp mazembe wako bize na hawana muda wa kuchoshana wako straight na mambo yao hawapindishi pindishi. Na simba mkimsajili huyu mtu ntashangaa sana. Mara mia okwi abaki.
Mfano ukichukulia mchezaji Samata, nawaza samata angekua na demand kubwa na kujiona yeye ni staa sidhani kama angekua hapo alipo, wakati anaenda Tp Mazembe aliona ni njia pekee ya yeye kufika mbali kimataifa na kwenda ulaya, kwahio kitu muhimu katika maisha ni kujishusha na kukubali kile ambacho kwa wakati huo unakipata ama utaenda kukipata kwa malengo ya kwamba one day thamani yako itazidi kukua na itaonekana tu.
Tp mazembe ni klabu kubwa na ina program na mipango madhubuti, sasa nashangaa sana mtu ambaye anatoka tanzania kwenye timu tena iliyo kwenye matatizo makubwa kwa sasa, anashindwa kukubaliana masharti binafsi. Hapo hakuna lingine ninaloliona zaidi ya vitu viwili, kwanza selfish na kujiona wewe ni mkubwa sana hata zaidi ya Tresor Mputu, ina mana kweli Tp Mazembe klabu kubwa inashindwa kukubaliana masharti binafsi na mchezaji? Nasema hapana, shida kubwa iko kwa mchezaji, kujiona staa na ku demand vitu vikubwa ambavyo kama ungekua loyal vingekuja tu huko mbele mana mikataba hua inaboreshwa. Hapa ndipo tunapoona umuhimu wa wachezaji kua na MANAGERS.
Kingine ni usimba na uyanga, mchezaji anaona wenzie wnaakula shushu na yeye anaona ni haki yake naye awepo hapo, wakati anaondoka vilisemwa vijembe vingi sana mpaka ikafikia hatua akifunga anavua shati anaenda kuwaonesha mashabiki wa simba jezi namba kumi..
Sasa leo hii anaona kule kutamu, mbinu zinasukwa ili arudi, alikua wapi wakati simba tuna struggle kujitoa wakati huo tunaitwa simba wa matopeni,/michangani?? Binafsi ningekua Aussems nisingemsajili kabisa. Nawapongeza pia Tp Mazembe kwa kubwaga manyanga, tp mazembe wako bize na hawana muda wa kuchoshana wako straight na mambo yao hawapindishi pindishi. Na simba mkimsajili huyu mtu ntashangaa sana. Mara mia okwi abaki.