Ninachokijua Kuhusu Maisha Binafsi Ya Freeman Mbowe.

Kabwena

Senior Member
Joined
Jun 17, 2013
Posts
103
Reaction score
55
Kumekuwa Na Mijadala Mingi Sana Inayojaribu Kuzungumzia Maisha Binafsi Ya Freeman A. Mbowe, Kubwa Ni Kuwa Amekuwa Akidaiwa Kumsaliti Mke Wake Aliyezaa Naye{lilian} Na Ikajengwa Hoja Kuwa Kama Anamsaliti Mke Wa Ndoa Tena Aliyemzalia Watoto Basi Hafai Kuwa Kiongozi.. Ninachokifahamu Ni Kuwa Mbowe Na Lilian Ambaye Ni Mtoto Wa Mzee Mtei Waliachana Rasmi Kama Mke Na Mume Mwaka 2008 Kwasababu Ambazo Wenyewe Ndio Wanazijua, Baada Ya Hapo Mbowe Amekuwa Na Uhusiano Usio Na Usiri Na Joyce Mukya. MADAI YA KUITELEKEZA FAMILIA.
Watoto watatu kati ya wanne wa Mbowe Wanaishi Nje Ya Afrika Wakisoma Na Wengine Kufanya Kazi Kwa Msaada Wa Freeman Mbowe, Lilian{ex Wife} Ni Mfanyabiashara Mkubwa Na Mpaka Sasa Wanashirikiana Na Mbowe Kwenye Baadhi Ya Biashara, Sijajua Wakosoaji Wa Mbowe Wanaposema Familia Na Mke Wametelekezwa Wanakuwa Na Maana Ipi.. Zaidi Ya Yote Muasisi Wa Chadema Mzee Mtei Ni Baba Wa Lilian, Tujiulize Kama Mbowe Angekuwa Amemsaliti Lilian Na Kutelekeza Watoto Wake Mzee Mtei Angekuwa Anamuunga Mkono Mbowe??????
 
Kutotoa ufafanuzi nako ni tatizo kubwa!

Kwanini huu ukweli haukuwekwa wazi?

Mbona sasa imeeleweka?

Je,Zitto alikuwa hajui jambo hili?

Kweli siasa mbaya sana!
 

Kuna ishu ya gridi ya TAIFA hapa
 
Maisha binafsi ya MBowe anayajua yeye mwenyewe ivyo usiwe msemaji wake!, kama wewe ni personal secretary ungetueleza unavyomfahamu ktk shughuli zake za kazi za kila siku.

 
Teh teh, mambo binafsi, je zitto naye vipi? Vipi jk ameacha wangapi? Kweli sihasa!
 
Teh teh, mambo binafsi, je zitto naye vipi? Vipi jk ameacha wangapi? Kweli sihasa!

Hakuna mtu dhaifu kwenye 'Mambo ya mwili'kama Zitto Cyber s.e.x. kwake ni kawaida alisharekodiwa sana tu...bora afunge mdomo tu.
 
Kwahiyo JOYCE MUKYA alipata ubunge wa viti maalum kupitia Mbowe? Kama Rose Kamili alivyopata kiti maalum kupitia Dr.Slaa, au Christina Lissu kupitia Tundu Lissu na Mtoto na Mkwe wa Ndesamburo kupitia baba yao. Kweli CHADEMA mnajuana haswa!

Na wabunge wao wakiwa ktk kikao inakuwa kama wapo sebuleni wanajadili kikao cha ndoa!!!eti ndo tuwape DOLA!!!ha ha ha ha ha!!!!!
 
kapalamsenga ,mwandiga hawajambo? Wasalimie na kalema.

Mimi ni Mtanganyika hainipi sifa kuongea uongo, sipo timu ya mtu ndiyo maana hata Zito madhambi yake huwa nayaandika humu kama tunamtetea mtu na masiaha yake haitusaidii, kwani mbona viongoi wengi tu wananyumba ndogo na hamtaki kuwasema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…