Kinacho nishangaza mmojaa alikuwa kiongozi wa dini, mungine Mcheza Disco, lkn tabia zao zinafanana!!!yan michezo hawajamaliza!!!wanakula Bata hata umri ule.
Kumekuwa Na Mijadala Mingi Sana Inayojaribu Kuzungumzia Maisha Binafsi Ya Freeman A. Mbowe, Kubwa Ni Kuwa Amekuwa Akidaiwa Kumsaliti Mke Wake Aliyezaa Naye{lilian} Na Ikajengwa Hoja Kuwa Kama Anamsaliti Mke Wa Ndoa Tena Aliyemzalia Watoto Basi Hafai Kuwa Kiongozi.. Ninachokifahamu Ni Kuwa Mbowe Na Lilian Ambaye Ni Mtoto Wa Mzee Mtei Waliachana Rasmi Kama Mke Na Mume Mwaka 2008 Kwasababu Ambazo Wenyewe Ndio Wanazijua, Baada Ya Hapo Mbowe Amekuwa Na Uhusiano Usio Na Usiri Na Joyce Mukya. MADAI YA KUITELEKEZA FAMILIA.
Watoto watatu kati ya wanne wa Mbowe Wanaishi Nje Ya Afrika Wakisoma Na Wengine Kufanya Kazi Kwa Msaada Wa Freeman Mbowe, Lilian{ex Wife} Ni Mfanyabiashara Mkubwa Na Mpaka Sasa Wanashirikiana Na Mbowe Kwenye Baadhi Ya Biashara, Sijajua Wakosoaji Wa Mbowe Wanaposema Familia Na Mke Wametelekezwa Wanakuwa Na Maana Ipi.. Zaidi Ya Yote Muasisi Wa Chadema Mzee Mtei Ni Baba Wa Lilian, Tujiulize Kama Mbowe Angekuwa Amemsaliti Lilian Na Kutelekeza Watoto Wake Mzee Mtei Angekuwa Anamuunga Mkono Mbowe??????
Lowassa atakuwa na umri gani muda huo?Wote hawa hawana mpango wa kuongoza nchi. Wamekubaliana wamuunge mkono Lowasa CCM au wakimtema atagombea kupitia CHADEMA. By the way Slaa mwakani atakuwa na miaka 67 nani anataka kuchagua wazee katika nchi ambapo asilimia 65 ya watu wapo chini ya miaka 30?
Lowassa atakuwa na umri gani muda huo?
Ni aibu sana kwa viongozi wanaojipambanua kuwa wanataka wapewe nchi, lakini uongozi ngazi ya familia wamefeli.
Kujibu Kila upuuzi ni kuendeleza upuuzi
Hakuna kitu ambacho hakina manufaa kama kupoteza muda kujadili personal issue wakati kuna mambo mengi ya taifa ya kujadili.
basi na kapuya au mwigulu sio maaskofu au manabii...naona mmeona kua cdm ndo kuna makanjanja mengi...mmeshikwa pabaya...cdm kwishney...finito,,,Hayo ni maisha binafsi sana ya Mhe. Mbowe ambayo hayana uhusiano na maisha yake ya kisiasa! Kumbuka Mbowe sio Askofu au Nabii ili ahukumiwe kwa kufuata misahafu ya kidini! Kiongozi yeyete wa siasa asiye na hatia ya aina hiyo ya ndoa na awe wa kwanza kumpiga Freeman jiwe! Ni kwa sababu hatuiyasemi tu, lakini............!
Ni aibu sana kwa viongozi wanaojipambanua kuwa wanataka wapewe nchi, lakini uongozi ngazi ya familia wamefeli.
basi na kapuya au mwigulu sio maaskofu au manabii...naona mmeona kua cdm ndo kuna makanjanja mengi...mmeshikwa pabaya...cdm kwishney...finito,,,
kama maisha binafsi ya ndoa defines your political and leadershjp capability then let's start with winnie vs mandela,clinton vs monica lewinsky and better yet jakaya na msururu wa vimada na watoto wa nje..
Tungeliweza kumwangalia mtu kama JK kwa miwani hiyo du! Hangekuwa raisi kabisa! Lakini maisha ya binafsi ni tofauti na maisha ya kisiasa!basi na kapuya au mwigulu sio maaskofu au manabii...naona mmeona kua cdm ndo kuna makanjanja mengi...mmeshikwa pabaya...cdm kwishney...finito,,,