Lugha hasina uhusiano na uelewa au akili
Malawi hapo watu kibao wanaongea kingereza kilichonyooka na hawajawahi kanyaga hata darasa.la kwanza!!
Uingereza kwenyewe elimu sio lazima mtu ana uhuru wa kusoma au kutosoma wKo kibao hawajui.kusoma wala kuandika na wanaongea kingereza kizuri tu