Ninachoona, ligi yetu ndiyo imezikwa rasmi kuanzia jana

Ninachoona, ligi yetu ndiyo imezikwa rasmi kuanzia jana

Mbona mwaka 2021 haikuzikwa??
Huenda kulikuwa na viongozi wenye hekima kiasi fulani.
Ila kwa hili la sasa,huu moto waliouanzisha wanachochea ili waone nini kitatokea.

TFF wako njia panda.
Serikali kuhusika kuhujumu timu kwa ajili ya timu nyingine ni kitu cha ajabu sana.
Meneja wa uwanja ni serikali, polisi waliotumika kuzuia basi la Simba ni serikali,mabaunsa waliohusika ni mamluki wa yanga.Mpira umekuwa kama siasa za cuf na ccm Zanzibar,chadema na ccm bara.Uhuni unaanza kuzigubika hata fani zinazowasahaulisha watu shida zao.
Udhaifu wa viongozi kwenye hizi club umekuwa tatizo kubwa jingine.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa ameandika madini sana.Kiufupi itafikia hatua hakuna mtu atapenda kuangalia mechi za ligi ya Bongo kwa kuwa utakuwa ni upuuzi tu,ndio maana ligi ya Italy ishu ya upangaji matokeo hadi leo ligi yao haina mvuto tena.Watu wanashindwa kujiuliza kwanini EPL miaka na miaka ina mvuto ...Ki ukweli Yanga na TFF wanaharibi ligi hii.Yaani mechi za Yanga zikichezwa kila mtu anaenda na matokeo uwanjani unajua kabisa Yanga anashinda.Angalia mechi za Simba zinavyokuwa ngumu hasa hizi za Ndani,Yaani Simba anapata ushindani wa kweli.Hiki kitu kinatesa hadi timu ya Azam ambao nao wanawekeza Fedha nyingi kujenga timu..
Ki ukweli kama haya hayatopigiwa kelele watu wataacha kuangalia hata TV ,itakuwa hasara kwa Azam tv na thamani ya ligi yetu itashuka.Tukemee hili la Yanga kupanga matokeo,halina Afya kabisa.
 
Simba mna matatizo sana.

Nilishalisema hili tatizo la mpira bongo linasababiswa na Simba.

Simba anashindana na Yanga huku akiwa na imani kwamba Yanga ni timu ya kawida na haishindi kihalali.

Simba hawataki na wamegoma kabisa kuiheshimu Yanga na kukubali kwamba Yanga kwa sasa ni bora zaidi yao.

Simba wakilikubali hili na wakajipanga kama ambavyo Yanga ilijipanga kwa kufanya usajili mzuri kipindi Simba hiko vizuri kuliko Yanga ligi yetu itachezeshwa kwa amani sana.

Hivi mtu na akili zako timamu utasemaje Yanga hawachezi mpira kihalali!

Timu iliyotoka kucheza fainali ya shirikisho.

Timu iliyomvimbia mamelodi na kutolewa kwa figisu za kukataliwa goli la wazi kabisa kuna mtu anasema haishindi kihalali kama sio uwendawazimu ni nini?

Simba acheni mambo ya hivyo imarisheni kikosi chenu hili muweze kushindana na Yanga.


Kutaka kushinda kivyovyote hata kwa kuonga marefa ni kuharibu ligi yetu.
Shida sio simba vs yanga sheria ni dhaifu,and waliopo madarakani hawana meno
 
Jamaa ameandika madini sana.Kiufupi itafikia hatua hakuna mtu atapenda kuangalia mechi za ligi ya Bongo kwa kuwa utakuwa ni upuuzi tu,ndio maana ligi ya Italy ishu ya upangaji matokeo hadi leo ligi yao haina mvuto tena.Watu wanashindwa kujiuliza kwanini EPL miaka na miaka ina mvuto ...Ki ukweli Yanga na TFF wanaharibi ligi hii.Yaani mechi za Yanga zikichezwa kila mtu anaenda na matokeo uwanjani unajua kabisa Yanga anashinda.Angalia mechi za Simba zinavyokuwa ngumu hasa hizi za Ndani,Yaani Simba anapata ushindani wa kweli.Hiki kitu kinatesa hadi timu ya Azam ambao nao wanawekeza Fedha nyingi kujenga timu..
Ki ukweli kama haya hayatopigiwa kelele watu wataacha kuangalia hata TV ,itakuwa hasara kwa Azam tv na thamani ya ligi yetu itashuka.Tukemee hili la Yanga kupanga matokeo,halina Afya kabisa.

Yanga amemfunga simba mechi 4 mfululizo..

Je simba na yeye huwa anapanga matokeo kwa kumruhusu yanga amfunge kila siku ?
 
Mtoa mada hauna ulijualo,endelea kukaa apo kwa shemeji yako.
Simba na Yanga itaendelea kuepo,Gsm ataendelea kuepo.
Hauchangii hata sh mia kuchangiaa maendeleo ya timu yoyote,hata kadi ya uanachama wa timu yoyote huna..
Kazi kubwabwaja tu.
 
Yanga amemfunga simba mechi 4 mfululizo..

Je simba na yeye huwa anapanga matokeo kwa kumruhusu yanga amfunge kila siku ?
Matokeo ya 5-1 unajua uhalisia wake?? Kwanini Manula hadi leo hachezi? Kwanini Simba waliuza wachezaji wote wenye majina? Unajua nini kilitokea siku moja kabla ya Mechi?
Angalia mechi za Simba vs Yanga mnasema makosa ya waamuzi kununuliwa yanvyoigharimu Simba.
 
Yanga ameifunga Simba mara nne mfululizo,je Simba nayo inadhaminiwa na GSM?

Wewe usiyedhaminiwa na GSM unashindwa kuonesha mfano bora kwa kuifunga Yanga cha ajabu unataka wenzako waifanye kazi ambayo wewe imekushinda.

Motisha sio kosa kisheria mwambieni tajiri wenu atoe motisha na yeye hajazuiliwa.

Mbona ujalalamikia motisha ya goli la mama na kuona ni kitu kibaya zaidi mkawa mnafurahi tu mkishainda goli nyingi kwamba mtapata pesa nyingi.

Japo ujaweka vigezo vya kuonesha kivipi Singida ni timu spare ya Yanga acha mimi nikuwekee vigezo.

1.Wachezaji wa Singida kwenda Yanga.

2.Yanga kumchukua kocha wa singida.

Hii pia sio hoja hata ninyi Simba mmenufaika sana na wachezaji kutoka Azam na mlikuwa mnawachukua kadri ya mnavyotaka wachezaji hao wanajulikana.

Kuhusu kocha hata ninyi mna timu tenu(Costal) ambaye kocha wake Mgunda mlikuwa mnamchukua mnavyotaka mkifukuza makocha wenu.


Una takwimu gani ambazo zinatukataa kuliko Simba?

Yanga kacheza fainali ya Shirikisho msimu wa 2022/2023 wewe umecheza fainali ya nini?

Au kuishia robo fainali klabu bingwa nayo ni rekodi ya mafanikio?
Siasa hizi. Hahaha. Ngoja niendelee kusoma.
 
Jamaa ameandika madini sana.Kiufupi itafikia hatua hakuna mtu atapenda kuangalia mechi za ligi ya Bongo kwa kuwa utakuwa ni upuuzi tu,ndio maana ligi ya Italy ishu ya upangaji matokeo hadi leo ligi yao haina mvuto tena.Watu wanashindwa kujiuliza kwanini EPL miaka na miaka ina mvuto ...Ki ukweli Yanga na TFF wanaharibi ligi hii.Yaani mechi za Yanga zikichezwa kila mtu anaenda na matokeo uwanjani unajua kabisa Yanga anashinda.Angalia mechi za Simba zinavyokuwa ngumu hasa hizi za Ndani,Yaani Simba anapata ushindani wa kweli.Hiki kitu kinatesa hadi timu ya Azam ambao nao wanawekeza Fedha nyingi kujenga timu..
Ki ukweli kama haya hayatopigiwa kelele watu wataacha kuangalia hata TV ,itakuwa hasara kwa Azam tv na thamani ya ligi yetu itashuka.Tukemee hili la Yanga kupanga matokeo,halina Afya kabisa.
Wanasema wamesajili vizuri sana ndo sababu ya matokeo bora na mwaka jana walifika fainali shirikisho sababu ya kusajili vizuri. Hapo vipi?
 
Sioni namna Simba itakavyokubali tena kuendelea kunyanyaswa ili yanga wapate ubingwa.

Yanga hawawezi kucheza mpira kihalali ni lazima watumie mbinu nyingi za hovyo kwa msaada wa vyombo vyote vikiwemo vya serikali. Simba wamekataa kuwa wanyonge maana wanataka mpira uchezwe sio figisu nje ya uwanja na kupitia waamuzi.

Kutokana na msimamo wa Simba kugomea mechi,yanga nao hawakubali tena kupangiwa siku nyingine kwa vile watalazimika kuwekeza tena nje ya uwanja kabla ya mechi nyingine.

Kutokana na mvutano huu,na aina ya viongozi waliopo yanga na Simba ni kama wote hawana akili ya kufikiria vizuri matokeo ya maamuzi yao.

Hivyo, ninaona ni wazi hizi timu kuna uwezekano wa kususa kucheza ligi ama kuendeleza mapambano dhidi ya mamlaka za soka.

Ninachokiona mbele, umefika mwisho wa ubora wa ligi, na sijui kama utakuja kurudi tena kwenye ubora wake hivi karibuni.

GSM amefanikiwa sana kwa msaada wa mabilioni yanayochepushwa kutoka serikalini, kutengeneza ufalme wa yanga nje ya uwanja, na kuua soka la ushindani ndani ya uwanja, na kuufanya mchezo wa soka kama maigizo ambayo tunajua mwisho wa picha utakuwaje.

Sisi wengine tungependa mamlaka wawe wakali hasa kwenye kanuni, bila kujali nani amekosea. Kosa la kuizua timu kufanya mazoezi kabla ya mechi liwe na adhabu kali sio faini milioni moja.

Makosa yanayoashiria ushirikina kama kupita geti lisiloruhusiwa yawe na adhabu kali sio faini ya milioni moja iwe hata milioni 300.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wewe unapiga domo na kuzunguka zunguka bila hoja ya msingi,,ungetamka wazi kwamba Simba aikuwa na hoja yoyote ya kikanuni Wala kisheria za soka kugomea mechi,,na bodi ya ligi aikuwa na hoja yoyote ya maana kuahirisha mechi,,kwa maana iyo mnajua kwamba yanga awezi kuendeshwa na wajinga wachache kwa manufaa binafsi ya mapenzi yao kwenye hivi vilabu kwa kutoa maamuzi ya ovyo kuahirisha mechi,,yanga atocheza mechi nyingine yoyote ya derby ndio imetoka iyo
 
GSM amefanikiwa sana kwa msaada wa mabilioni yanayochepushwa kutoka serikalini, kutengeneza ufalme wa yanga nje ya uwanja,
Haya maneno ya hatari kwako.
Tuhuma nzito ambazo ukidaiwa uthibitishe utashindwa.
JF siyo kichaka cha kuchafua watu au taasisi mbalimbali.
Maxence Melo , Paw , Active , Moderator angalieni hilo kulinda taswira ya JF na kuepuka migogoro ya kisheria.
JF isiwe sehemu ya kuumiza watu kwa mambo yanayo zuilika kama haya. Mumdai ushahidi huyu mdau mjivue lawama.
 
Haya maneno ya hatari kwako.
Tuhuma nzito ambazo ukidaiwa uthibitishe utashindwa.
JF siyo kichaka cha kuchafua watu au taasisi mbalimbali.
Nilichojifunza JF ni kuwa ukiona mtu anaandika humu mambo kama haya uwezekano ni kuwa ana imune ya kimtaa ndo maana kuna watu humu hawana woga wa kutoa tuhuma, ukiiga na huna hiyo imune id baada ya muda inakuwa idle, unaikimbia wewe mwenyewe.
 
Yanga ameifunga Simba mara nne mfululizo,je Simba nayo inadhaminiwa na GSM?

Wewe usiyedhaminiwa na GSM unashindwa kuonesha mfano bora kwa kuifunga Yanga cha ajabu unataka wenzako waifanye kazi ambayo wewe imekushinda.

Motisha sio kosa kisheria mwambieni tajiri wenu atoe motisha na yeye hajazuiliwa.

Mbona ujalalamikia motisha ya goli la mama na kuona ni kitu kibaya zaidi mkawa mnafurahi tu mkishainda goli nyingi kwamba mtapata pesa nyingi.

Japo ujaweka vigezo vya kuonesha kivipi Singida ni timu spare ya Yanga acha mimi nikuwekee vigezo.

1.Wachezaji wa Singida kwenda Yanga.

2.Yanga kumchukua kocha wa singida.

Hii pia sio hoja hata ninyi Simba mmenufaika sana na wachezaji kutoka Azam na mlikuwa mnawachukua kadri ya mnavyotaka wachezaji hao wanajulikana.

Kuhusu kocha hata ninyi mna timu tenu(Costal) ambaye kocha wake Mgunda mlikuwa mnamchukua mnavyotaka mkifukuza makocha wenu.


Una takwimu gani ambazo zinatukataa kuliko Simba?

Yanga kacheza fainali ya Shirikisho msimu wa 2022/2023 wewe umecheza fainali ya nini?

Au kuishia robo fainali klabu bingwa nayo ni rekodi ya mafanikio?
Shida ya simba wakiifunga wydad halaffu wakibattle na al ahly halafu wakaongoza kundi kwao ni mafanikio makubwa wakat overall performance timu inaishia robo..ni uzuni kabisa kwa watu wanaojua mpira
 
Simba mna matatizo sana.

Nilishalisema hili tatizo la mpira bongo linasababiswa na Simba.

Simba anashindana na Yanga huku akiwa na imani kwamba Yanga ni timu ya kawida na haishindi kihalali.

Simba hawataki na wamegoma kabisa kuiheshimu Yanga na kukubali kwamba Yanga kwa sasa ni bora zaidi yao.

Simba wakilikubali hili na wakajipanga kama ambavyo Yanga ilijipanga kwa kufanya usajili mzuri kipindi Simba hiko vizuri kuliko Yanga ligi yetu itachezeshwa kwa amani sana.

Hivi mtu na akili zako timamu utasemaje Yanga hawachezi mpira kihalali!

Timu iliyotoka kucheza fainali ya shirikisho.

Timu iliyomvimbia mamelodi na kutolewa kwa figisu za kukataliwa goli la wazi kabisa kuna mtu anasema haishindi kihalali kama sio uwendawazimu ni nini?

Simba acheni mambo ya hivyo imarisheni kikosi chenu hili muweze kushindana na Yanga.


Kutaka kushinda kivyovyote hata kwa kuonga marefa ni kuharibu ligi yetu.
Juzi mzee Dewji kapigilia msumari kuwa ni Wajinga😆 wasamehe tu
 
Wanasema wamesajili vizuri sana ndo sababu ya matokeo bora na mwaka jana walifika fainali shirikisho sababu ya kusajili vizuri. Hapo vipi?
Yanga Kufika fainali caf sio kigezo cha ubora .
Robo fainali anacheza na Marumo gallants timu ipo mkiani mwa ligi ya South Africa
Nusu fainali anacheza na rivers United timu dhaifu kuliko, Alafu anajisifu amecheza fainali ya cafcc??

Hii ni aibu.
 
Yanga Kufika fainali caf sio kigezo cha ubora .
Robo fainali anacheza na Marumo gallants timu ipo mkiani mwa ligi ya South Africa
Nusu fainali anacheza na rivers United timu dhaifu kuliko, Alafu anajisifu amecheza fainali ya cafcc??

Hii ni aibu.

kama walikuwa dhaifu walifikaje nusu fainali ?

mbabe wako tp mazembe na yeye alipigwa nje ndani sasa sijui na yeye alipanga matokeo
 
Sioni namna Simba itakavyokubali tena kuendelea kunyanyaswa ili yanga wapate ubingwa.

Yanga hawawezi kucheza mpira kihalali ni lazima watumie mbinu nyingi za hovyo kwa msaada wa vyombo vyote vikiwemo vya serikali. Simba wamekataa kuwa wanyonge maana wanataka mpira uchezwe sio figisu nje ya uwanja na kupitia waamuzi.

Kutokana na msimamo wa Simba kugomea mechi,yanga nao hawakubali tena kupangiwa siku nyingine kwa vile watalazimika kuwekeza tena nje ya uwanja kabla ya mechi nyingine.

Kutokana na mvutano huu,na aina ya viongozi waliopo yanga na Simba ni kama wote hawana akili ya kufikiria vizuri matokeo ya maamuzi yao.

Hivyo, ninaona ni wazi hizi timu kuna uwezekano wa kususa kucheza ligi ama kuendeleza mapambano dhidi ya mamlaka za soka.

Ninachokiona mbele, umefika mwisho wa ubora wa ligi, na sijui kama utakuja kurudi tena kwenye ubora wake hivi karibuni.

GSM amefanikiwa sana kwa msaada wa mabilioni yanayochepushwa kutoka serikalini, kutengeneza ufalme wa yanga nje ya uwanja, na kuua soka la ushindani ndani ya uwanja, na kuufanya mchezo wa soka kama maigizo ambayo tunajua mwisho wa picha utakuwaje.

Sisi wengine tungependa mamlaka wawe wakali hasa kwenye kanuni, bila kujali nani amekosea. Kosa la kuizua timu kufanya mazoezi kabla ya mechi liwe na adhabu kali sio faini milioni moja.

Makosa yanayoashiria ushirikina kama kupita geti lisiloruhusiwa yawe na adhabu kali sio faini ya milioni moja iwe hata milioni 300.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kweli simba imejaa mambumbumbu, hivi aliyezuia pitch feeling ya simba ni nani? Next time ukitaka kuleta hoja tafuta facts kwanza.
 
Huenda kulikuwa na viongozi wenye hekima kiasi fulani.
Ila kwa hili la sasa,huu moto waliouanzisha wanachochea ili waone nini kitatokea.

TFF wako njia panda.
Serikali kuhusika kuhujumu timu kwa ajili ya timu nyingine ni kitu cha ajabu sana.
Meneja wa uwanja ni serikali, polisi waliotumika kuzuia basi la Simba ni serikali,mabaunsa waliohusika ni mamluki wa yanga.Mpira umekuwa kama siasa za cuf na ccm Zanzibar,chadema na ccm bara.Uhuni unaanza kuzigubika hata fani zinazowasahaulisha watu shida zao.
Udhaifu wa viongozi kwenye hizi club umekuwa tatizo kubwa jingine.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mtapoa tu na maisha yataendelea kama kawaida
 
Back
Top Bottom