mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Kwa sababu hana hoja, yoyote anayeleta siasa kwa mambo ya kitaifa ni nyumbu na mjinga tu .In fact hujajibu hoja umeishia kutukana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu hana hoja, yoyote anayeleta siasa kwa mambo ya kitaifa ni nyumbu na mjinga tu .In fact hujajibu hoja umeishia kutukana
Watu wote wasio na hoja huishia kutoa comment kama hizo pale wanapoona wanaumbuka na ujinga wao na misimamo ya kitoto
Inaonekana wewe mchanga sana kwenye hii gameJibu kwanza. Mimi naona Tanzania tunatia aibu sasa. Mara Rwanda, mara Uganda, mara Zambia, mara Kenya. Hivi tuna akili gani sisi? KIla jirani tunagombana nae?
Ndio tatizo letu - kila kitu tunaona ni game fulani Wakenya wanataka kutufunga bao la tobo! Ninachoona hapa sio game, ni ujinga tu tunafanya hatuna la maana!
Hizi bifu na Kenya sasa naona kama ni utoto na nashangaa inafikia hata viongozi wetu wa ngazi ya mkoa wanahemuka na maamuzi bila kufikiria kumaliza mambo kidiplomasia. Hawa viongozi wanadhani wanamfurahisha Magufuli lakini ukweli ni kwamba wanamdhalilsha Magufuli na Tanzania kwa ujumla.
Ona kwamba tumekuwa na migogoro mipakani sio na Kenya tu, bali na Rwanda na Zambia pia. Hiyo ni dalili kwamba sisi ndio wenye tatizo. Ukiona kila siku wewe tu ndio unagombana na jirani zako, tatizo sio jirani, ni wewe!
Kwanza kabisa tuelewe kwamba nchi hizi jirani, japo sisi hatukuweka lockdown, wao waliweka. Sasa hatuwezi kuwalazimisha wasiwe na lockdown kwa Watanzania kwa kuwa sisi huku kwetu hakuna - huko ni kukosa si tu busara bali akili pia. Kwa mfano, Kenya wana lockdown kiasi kwamba hata kusafiri kati ya jimbo na jimbo, mfano, Nairobi na Mombasa, hairuhusiwi isipokuwa kwa vibali maalum.
Sasa sis tunachotaka kwa Wakenya au Rwanda au Zambia ni nini hasa? Tunataka madereva wetu wasipimwe wanapoingia kwenye hizo nchi? Au tunataka madereva wetu hata wakipimwa wakaonwa wana Corona waruhusiwe tu kuingia kwa kuwa kwetu hakuna lockdown?
Ona kwamba madereva wetu wanasema hawaviamini vipimo vya Kenya. Kenya watafanyaje vipimo vya udanganyifu kwa madereva ambao wanapeleka bidhaa kwao? Hiyo ni akili kweli kudhani mtu unaemplekea bidhaa kama chakula nk akukomoe kwa kukufanyia kipimo cha uongo? Tanzania tunataka tuamini vipimo vipi, maana hata vya kwetu tulisema vinasema mapapai yana Corona ni vipimo feki. Kama ni hivyo tupimwe madereva wetu mipakani basi ili wanapopimwa upande wa Kenya tuweze kubisha kisayansi kuwa upande wetu tumewapima wakaonekana negative.
Vitu vingine tusijifanye kuwa wajuaji na kukorofishana na jirani zetu pasipo sababu. Hatuwezi kuwalazimisha wasiwe na restrictions za Corona kwa kuwa sisi hatuna. Kama sisi hatuna restriction basi ni sawa madereva wao kuingia kwetu bila kupimwa, lakini hatuwezi kudai kuwa na madeeva wetu waingie kwao bila kupimwa! KUmbuka kwamba madereva wa Kenya wakitoka Tanzania wanaporudi kwao wanawekwa quarantine - sasa kama wanafanya hivyo kwa madereva Wakenya, kwa nini tuone sio sawa wakisema madereva wa Tanzania wawekwe quarantine?
Wewe mpumbavu sana ,umeandika mavi tuHalafu huyu Mkuu wa Mkoa wa Tanga anasema eti anashangaa Rais wa Kenya anaitwa Uhuru lakini hawaruhusu Wakenya kuwa huru na Corona, wakati wa kwetu anaitwa Magufuli lakini kawaondolea Watanzania makufuli ya Corona. Hivi kama huu si utaahira ni nini basi?
Na huyu ndio tumeona ana akili ya kuwa Mkuu wa Mkoa anaongea utumbo kama huu halafu anajisifia mimi ni mkuu wa mkoa lazima nilinde maslahi ya Tanzania?
Kwa point kama hizo hafai hata kuwa Balozi wa nyumba kumi.
Wanajiamini na kinga na tahadhari wanazochukua. Kwani umeambiwa kila mtu anaingia Tanzania atapata Corona? Italy ina Corona zaidi ya Kenya au Tanzania, lakini haina maana nikienda Italy leo lazima ntapata Corona, hasa nikijua nitachukua tahadhari.Kwanini madereva wa Kenya waingie Tanzania kama kuna corona halafu wapeleke kwao ?hiyo ni siri za kiuchumi wao wanajificha nyuma ya corona
MONEY STOP NONSENSE
Mtu anaejibu kama wewe ni wazi hana akili sawasawa. Unatumia maneno ambayo watu wenye hekima na staha unaweza kukuta hajalitamka kwa miaka! La ajabu unaweza kukuta eti wewe ni mkuu wa mkoa mahali!
Kwani da'Mange anasemaje?
Hujangalia taarifa ya habari,kuna madereva wa Tanzania mpakani walikuwa wanasema wamepimwa kenya wana corona ,wamepimwa Tz hawana,na wamekaa hapo zaidi ya week .Tupe sababu za kisayansi mmefanya nini hadi kufikia mkataa kuwa vipimo vya Kenya haviaminiki. Na haviaminiki kwa Watanzania pekee?
Kwa hiyo. da'Mange kasema comment yake nimeifuta au?comment yangu umefuta...
Wanajiamini na kinga na tahadhari wanazochukua. Kwani umeambiwa kila mtu anaingia Tanzania atapata Corona? Italy ina Corona zaidi ya Kenya au Tanzania, lakini haina maana nikienda Italy leo lazima ntapata Corona, hasa nikijua nitachukua tahadhari.
Sasa kama hizo ndizo point mnazobishana na Wakenya kwa kweli wanatuona vihiyo sana!
Dah mkuu umeanzisha Uzi wa maana sana Ila majibu unayopata yanasikitisha...Yaani Watanzania wengi ni wapumbavu sanaHalafu huyu Mkuu wa Mkoa wa Tanga anasema eti anashangaa Rais wa Kenya anaitwa Uhuru lakini hawaruhusu Wakenya kuwa huru na Corona, wakati wa kwetu anaitwa Magufuli lakini kawaondolea Watanzania makufuli ya Corona. Hivi kama huu si utaahira ni nini basi?
Na huyu ndio tumeona ana akili ya kuwa Mkuu wa Mkoa anaongea utumbo kama huu halafu anajisifia mimi ni mkuu wa mkoa lazima nilinde maslahi ya Tanzania?
Kwa point kama hizo hafai hata kuwa Balozi wa nyumba kumi.
Sasa hilo ni jambo la kusawazisha kiungwana. Mmeulizwa na Generali Ulimwengu, ni lini mliagiza vipimo vinavyofaa baada ya kusema vile vya kwanza vilikuwa vibovu vinasema papai lina Corona? Sasa tuitajuaje kama vipimo vya Kenya au Tanzania ndio sahihi? Tumeshindwa kuasawazisha hili kistaarabu?Hujangalia taarifa ya habari,kuna madereva wa Tanzania mpakani walikuwa wanasema wamepimwa kenya wana corona ,wamepimwa Tz hawana,na wamekaa hapo zaidi ya week .
MONEY STOP NONSENSE
Sasa hilo ni jambo la kusawazisha kiungwana. Mmeulizwa na Generali Ulimwengu, ni lini mliagiza vipimo vinavyofaa baada ya kusema vile vya kwanza vilikuwa vibovu vinasema papai lina Corona? Sasa tuitajuaje kama vipimo vya Kenya au Tanzania ndio sahihi? Tumeshindwa kuasawazisha hili kistaarabu?
Jibu kwanza. Mimi naona Tanzania tunatia aibu sasa. Mara Rwanda, mara Uganda, mara Zambia, mara Kenya. Hivi tuna akili gani sisi? KIla jirani tunagombana nae?
Hivi unaelewa unachokisema lakini? Kwamba wawaruhusu madereva wenu waliopimwa na kuonekana wako positive kwa kuamini kuwa watachukua tahadhari kutowaambkiza Wakenya?Sasa kama wanajiamini na kinga kwani madereva wetu hawajiamini na kinga ?
MONEY STOP NONSENSE
Dah mkuu umeanzisha Uzi wa maana sana Ila majibu unayopata yanasikitisha...Yaani Watanzania wengi ni wapumbavu sana
Wanachofanya Kenya ndio kinachofanywa na na nchi karibia zote Duniani kwenye usafirishaji wa bidhaa kipindi hiki.. Tanzania tumeenda kinyume kabisa na dunia nzima, halafu tunawalaumu Wakenya
Sent using Jamii Forums mobile app