Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,010
- 7,360
Wakuu habarini za sahizi...
Nimekaa siku nzima nawaza suala la tajiri mfanya biashara na mmiliki wa Club ya Simba bwana Mo dewji ukiachilia mbali dau hilo la bilioni moja......
Wakuu Kwanzaa issue ya CCTV footage ya siku ya tukio familia ya Mo isihangaike nazo Kabisa.... Kwanzaa binafsi ningekuwa na timu ya ushindi ningeenda pale gym na kuchukua CCTV footage za siku 10 zilizopita zinazoonesha nje ya gym na barabara kuu karibu na gym.... Ukiunganisha na cctv za mtaa wote....
Pia ningechukua CCTV footage za mtaa anapoishi mo dewji pamoja na njia anazopenda kupita akielekea gym siku 10 zilizopita..... Nikiwa na wataalamu wa saikolojia ningezipitia zile video za siku 10 Kabla nikikagua kila gari linaloonekana katika kamera mmiliki wake na linaoatikana wapi then ningechuja magari yanayoonekana angalau mara 3 katika CCTV footage hizo za siku 10.....
Kuchunguza haya maeneo kwa siku 10 lazima ningejua wahusika walivyomfuatilia Mo kwa siku kadhaa (kumbuka hawawezi kumfata kichwa kichwa kabla hawajamfuatilia walau siku 3)
Ningechukua namba za zile gari kimya mpaka TRA ningekagua nyaraka za gari ninazozitilia shaka na endapo wataninyima ushirikiano ningemtafuta hacker anaejielewa kutoka hata south anachukua taarifa tunazipitia vizuri.....
Banda ya kupata taarifa za TRA ningegundua wapi gari zinapatikana na namba za simu ningezipata....moja kwa moja ningeanza kuzifuatilia gari husika kwa siku 2 kila 1 lazima ningepata pa kuanzia....
Banda ya haha lazima ningehitaji msaada wa wazee walio vizuri katika martial arts especial ninjas ningetoa taarifa kwa familiar ya Mo especial baby yake direct anipe ushirikiano wa kufanya ambush na hao ninjas..mwisho wa siku tungevamia eneo husika na kumkomboa Mo.....baada ya hapo ninjas wanalipwa, hacker analipwa mimi naenda zangu sihitaji hata shs 100 sababu ya kujitolea na kujali utu....
Nawaza nje ya box tu
Nimekaa siku nzima nawaza suala la tajiri mfanya biashara na mmiliki wa Club ya Simba bwana Mo dewji ukiachilia mbali dau hilo la bilioni moja......
Wakuu Kwanzaa issue ya CCTV footage ya siku ya tukio familia ya Mo isihangaike nazo Kabisa.... Kwanzaa binafsi ningekuwa na timu ya ushindi ningeenda pale gym na kuchukua CCTV footage za siku 10 zilizopita zinazoonesha nje ya gym na barabara kuu karibu na gym.... Ukiunganisha na cctv za mtaa wote....
Pia ningechukua CCTV footage za mtaa anapoishi mo dewji pamoja na njia anazopenda kupita akielekea gym siku 10 zilizopita..... Nikiwa na wataalamu wa saikolojia ningezipitia zile video za siku 10 Kabla nikikagua kila gari linaloonekana katika kamera mmiliki wake na linaoatikana wapi then ningechuja magari yanayoonekana angalau mara 3 katika CCTV footage hizo za siku 10.....
Kuchunguza haya maeneo kwa siku 10 lazima ningejua wahusika walivyomfuatilia Mo kwa siku kadhaa (kumbuka hawawezi kumfata kichwa kichwa kabla hawajamfuatilia walau siku 3)
Ningechukua namba za zile gari kimya mpaka TRA ningekagua nyaraka za gari ninazozitilia shaka na endapo wataninyima ushirikiano ningemtafuta hacker anaejielewa kutoka hata south anachukua taarifa tunazipitia vizuri.....
Banda ya kupata taarifa za TRA ningegundua wapi gari zinapatikana na namba za simu ningezipata....moja kwa moja ningeanza kuzifuatilia gari husika kwa siku 2 kila 1 lazima ningepata pa kuanzia....
Banda ya haha lazima ningehitaji msaada wa wazee walio vizuri katika martial arts especial ninjas ningetoa taarifa kwa familiar ya Mo especial baby yake direct anipe ushirikiano wa kufanya ambush na hao ninjas..mwisho wa siku tungevamia eneo husika na kumkomboa Mo.....baada ya hapo ninjas wanalipwa, hacker analipwa mimi naenda zangu sihitaji hata shs 100 sababu ya kujitolea na kujali utu....
Nawaza nje ya box tu