Ninadaiwa Tala, Branch, Tigo Nivushe, Nipige Tafu, M-Pawa, Songesha. Je, mimi ni nani?

Ninadaiwa Tala, Branch, Tigo Nivushe, Nipige Tafu, M-Pawa, Songesha. Je, mimi ni nani?

Habari za Jumapili?

Katika maisha unapitia na changamoto kama hizo, nina mikopo japo sio mikubwa sana lakini inaniweka wasiwasi sana nisije nikaenda jela bure natafuta namna niwalipe madeni yao, lakini uchumi wa kati baba/mama kwangu ni shida sana; unasumbua sana mimi kwangu upo wa mwisho.

Niwatakie siku njema!?
Usiogope tuko wengi mkuu,tukienda jela tutakuwa tunafarijiana...
 
Hivi ukitaka kukopa tala unaingia unaenda wapi?..au ndo unazikuta kwenye mitandao ya simu?
 
Songesha nilikua nawalipa ila nikaja kustuka kumbe wananiongezea cha juu bila mimi kujua nilichofanya nilikopa elfu 38,000 nikawapotezea wana wizi wa kimfumo sana kama hupigi hesabu jua kuna namna wanakuongezea deni
 
Habari za Jumapili?

Katika maisha unapitia na changamoto kama hizo, nina mikopo japo sio mikubwa sana lakini inaniweka wasiwasi sana nisije nikaenda jela bure natafuta namna niwalipe madeni yao, lakini uchumi wa kati baba/mama kwangu ni shida sana; unasumbua sana mimi kwangu upo wa mwisho.

Niwatakie siku njema!?
Wewe ni punga sese
 
Habari za Jumapili?

Katika maisha unapitia na changamoto kama hizo, nina mikopo japo sio mikubwa sana lakini inaniweka wasiwasi sana nisije nikaenda jela bure natafuta namna niwalipe madeni yao, lakini uchumi wa kati baba/mama kwangu ni shida sana; unasumbua sana mimi kwangu upo wa mwisho.

Niwatakie siku njema!?
Sasa kumbe hata kwenye list ya wadaiwa sugu bodi ya mikopo haupo unaanza kulalamika kiasi hicho mkuu?
 
Back
Top Bottom