Ninadhurumika nafsi, nami nina moyo jamani.

Soma ushauri wa Preta (kuhusu mabobishi ya kiduanzi), tatizo wewe unaamini kwenye u-handsome wako, talent ulizo nazo na kazi nzuri, mie mwanaume lakini sidhani kama kinadada wanapenda vitu hivyo tu nadhani kuna vingine vya ziada ambavyo unatakiwa uwe navyo japokuwa kazi nzuri ni sehemu ya kufanya maisha yawe sustainable. Inaelekea ukimtokea mrembo unaingia kwa gear ya kujikweza na majivuno wakati ulitakiwa umtokee kama mtu wa kawaida ili in the course of relationship mdada mwenyewe ndio agundue hizo talent zako unless kama alikuwa anakufahamu in advance. Sasa wewe ukikutana nae tu unajifanya upo juu kuliko yeye, jenga tabia ya kumpa assignment bidada akusome kwa stahili hii ya kujiona wewe upo perfect ndio penye shida (nani alikuabia ukiwa handsome au una talent au una kazi nzuri ndio kibuti hupigwi?), wakati mwingine unapigwa kibuti kwa kuwa wanaogopa utawanyanyasa kwa kuwa una kiburi cha kazi nzuri, u-handsome na talent zako
 
Last edited by a moderator:

We unampa hints tunazinyaka hizi
 
yaani mtu kumzoea wiki 2 tu unamtongoza? Lazima akurushe kama nyanya mbichi.

Mbona hapo unapishana na The Boss, The boss anasema immediately,
Mda gani unatosha?
 

vyote hivyo navitaka.nivute kwako niwe wako milele
 

Anadhani mahusiano ni kama hisabati yana formula kwamba 2+2 = 4 kumbe unaweza kuwa huna hela na ukakubalika kuliko wenye kazi nzuri, Anatakiwa ajiulize akikutana na mwanaumke mrembo aliyekamilika pia ana kazi nzuri itakuaje? (yaani ajiulize kwanini huyu mwanadada amkubali wakati ana kazi nzuri na kipato, hapa ndio atagundua kinachofuatwa sio sio kazi nzuri bali kuna vitu vingine vya ziada ambavyo ni lazima kwa maisha ya binadamu)
 
Mi sina ushairi ila nakupongeza Arist kwa unyenyekevu wako. Unajibu kila swali unaloulizwa kwa upole na staha. Pongezi. Naamin utampata tu wa kukupenda maisha
 
Mi sina ushairi ila nakupongeza Arist kwa unyenyekevu wako. Unajibu kila swali unaloulizwa kwa upole na staha. Pongezi. Naamin utampata tu wa kukupenda maisha

Thanx, maombi yako plz, nilikua na dreamz nikifika around 27 nifunge ndoa, but now am 26.5 hakuna dalili, maombi yako plz.
 
Kama una mpango wa kufunga ndoa at 27 umechelewa ulitakiwa uwe umeshatafuta mchumba kitambo ili atleast ujifunze kwanza
 
Kuna jambo nilitaka kusema ila nimelimezea!
 
Kama una mpango wa kufunga ndoa at 27 umechelewa ulitakiwa uwe umeshatafuta mchumba kitambo ili atleast ujifunze kwanza

Yeah, nakubaliana na wewe, huko nyuma kote nilikua natafuta but sibahatiki, yaani leo yenyewe nimetoka kutoswa na bint katika harakati za kutafuta,

Ofcouse ilinibidi nisogeze miaka mbele mpaka kwenye 30, naamini nitapata baada ya wewe kunipa tips zako..
 
Mjaribu MadameX, kesha tangaza nia. Soma ile thread yake "Nimeamua kuolewa."
 
Ina wezekana una dhani kuwa ni mzuri ndiyo ita kuwa sababu ya kupata wasicha!

Na inawezekana unapo tongoza msichana unaanza kusema we ni handsome, umesoma na una kazi alaf ukisha sema hivyo utegemee ndiyo ukubaliwe!

We umejuaje wasichana watakupenda sababu wewe ni handsome?

Pengine unaweza uka dhani una faa kwa kila msichana lakini sivyo, ndugu wasicha hawatabiriki.

Na kushauri kwanza sahau hiyo profile yako alaf anza kutafuta msichana! Kwa sababu kama una taka kazi au sura viwe vigezo vya kupata akupendaye, umejiuliza ukipata ajali au kupoteza kazi aliye kupenda kwaajili ya hivyo vitu ata endelea kukupenda?

N:B Ntakuweka kwenye maombi ili ufunguke siku moja uje na uzi unao sema nimepata anaye nipenda.
 
Hadithi kama ya maisha yangu ,najua kwa kiasi gani inauma kuwa katika hali hiyo. Maumivu , maumivu mpaka basi ,ukiwa jobless,hakuna mpenzi wa kukufariji au kufarijiana unaweza kutamani ungekuwa titled R.I.P ,lakini haya ni mapito tu kuna siku yataisha ingawa kwangu sioni dalili. Baada ya safari ya muda mrefu ya kusaka mapenzi yenye mafanikio kidogo ,nilimtongoza msichana ambaye kwa majibu yake mwanzo ni kama kakubali ila hajasema na nikajenga matumaini ya kuwa naye coz niliiona tafsiri halisi ya mapenzi ktk story zake,matendo na vitu vingi. Nilitumia kila tech. ya kutongoza after two yrs niliambulia kutoswa kwa kishindo,,kwa kishindo, J still like to talk with her kama rafki but she donk pick my phone call,nilichokipata hapo ni kupoteza kabisa ujasiri wa kutongoza,nahisi kachukua kila kitu kinachohusu mapenzi kutoka kwangu, baada ya hapo nikitongoza tu nazinguliwa saaana ,yaani hata sielewi nakosea wapi ? ,I m a loser in love affairs, i know how it feels to be in such state, It pains ,it pains a lot...
 

madoido yake yana mponza!
 
labda waziza wako walikuwa na dhambi kubwa sana
mauaji hivi
au dhuluma hivi
kwa hiyo laana yao inakuletea mikosi watu wema wanakukimbia utajikuta unakubaliwa na vicheche wa mjini

Nawe siku hizi umeokoka?

Back to the point, huwezi jua huenda wanaokukataa hawakufai; umesema wewe ni mpendwa maana yake si unapendwa au?

Mshirikishe Mungu kwenye issue zako na si sisi ambao hatukujui wala hao wadada hatuwajui! Huenda pia ni family curse kama aliyosema Boss, lkn pia yaweza kuwa Baraka, only God knows! Huna machaguo zaidi ya kumtegemea Yeye!
 
Mmh labda wewe story zako ni za uchumi, siasa na uinjinia wako sasa mdada gani atakaa kukusikiliza??wanawake wengi tunapenda mtu social, anayependa utani, hata kama anajua sio kimbelembele kila wakati! Inawezekana tu siku ya kwanza unaanza kujimwagia sifa..rekebisha jinsi ya kuapproach halafu pia mwanamke hatongozwi siku moja, hata akisema NO wenzio hua wanaendelea kubembeleza!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…