1. Njia ya mwongo fupi.Wadau kuna msichana nimempenda nikamtongoza ili tuwe wapenzi ,amenisumbua muda mrefu mpaka kuja kunikubalia sasa shida ni kwamba ameniuliza kama niko kwenye mahusiano kwa sasa nimemdanganya niko single wakati nina mchumba ambaye nategemea kumuoa mwezi wa nne mwaka huu.Je nimwambie ukweli kuwa ninae mchumba,kwa sababu mpka sasa nimemficha kuwa sina mchumba wala mpenzi.ukizingatia mchumba wangu yuko mbali kwa sasa na si mnajua tena GENYE ni shida nataka mtu wakuniliwaza wakati mchumba akiwa mbali.
Ndo kesho atakuja kunipa penzi,ila roho inaniuma kumdanganya ili niweze kumpata,naona bora nimwambie tu ukweli kuwa mama ninae mchumba wewe tuwe tu km wapenzi sasa hofu yangu atakubali au ataniona tu kma play boy?Mkuu hembu kuwa mkweli usitake kutusumbua, umemfukuzia kipind chot hicho then ushauri wa kipi jibu unaloww hapo, mapenzi yakizidi kwake ndo utajua umwambia nn
¶ Sipendi kuingilia ndoa za watu mm
I know love...dislike dislike dislike
Aje ili umfanye nini?[emoji53][emoji53][emoji53]I know love...
Jokes indeed....
Ukimalizana na church njoo..
Wadau kuna msichana nimempenda nikamtongoza ili tuwe wapenzi ,amenisumbua muda mrefu mpaka kuja kunikubalia sasa shida ni kwamba ameniuliza kama niko kwenye mahusiano kwa sasa nimemdanganya niko single wakati nina mchumba ambaye nategemea kumuoa mwezi wa nne mwaka huu.Je nimwambie ukweli kuwa ninae mchumba,kwa sababu mpka sasa nimemficha kuwa sina mchumba wala mpenzi.ukizingatia mchumba wangu yuko mbali kwa sasa na si mnajua tena GENYE ni shida nataka mtu wakuniliwaza wakati mchumba akiwa mbali.
Alafu wewe acha kufanya wana jf matahira,wewe mwenyewe ndiyo ume mtongoza na alikuwa anakukatalia sasa hv ame kukubali unaanza kusuasua mara atakuona playboy mara Ben10 kwan wakati una mtongoza ulikuwa huyaoni yote hayo kuwa wewe ni kibamiaNdo kesho atakuja kunipa penzi,ila roho inaniuma kumdanganya ili niweze kumpata,naona bora nimwambie tu ukweli kuwa mama ninae mchumba wewe tuwe tu km wapenzi sasa hofu yangu atakubali au ataniona tu kma play boy?
Aisee!! Ukimwambia tu utakuwa umeuza ramani kwa adui,hautapata mchezo kabisa.Kama anakuja karibuni we piga kazi,kwani hayo ndio malipo ya usumbufu toka kwake kukupa jibu kipindi chote unamfukuzia.Ushauri wangu,fanyia kazi akili ya kichwa cha chini kwani ndicho kinachokuongoza kwa sasa!!Ndo kesho atakuja kunipa penzi,ila roho inaniuma kumdanganya ili niweze kumpata,naona bora nimwambie tu ukweli kuwa mama ninae mchumba wewe tuwe tu km wapenzi sasa hofu yangu atakubali au ataniona tu kma play boy?
Hiv kaka. Una miaka mingapi? Mbona unachafua sifa za wanaume wenzio? Au ww mvulana?Wadau kuna msichana nimempenda nikamtongoza ili tuwe wapenzi ,amenisumbua muda mrefu mpaka kuja kunikubalia sasa shida ni kwamba ameniuliza kama niko kwenye mahusiano kwa sasa nimemdanganya niko single wakati nina mchumba ambaye nategemea kumuoa mwezi wa nne mwaka huu.Je nimwambie ukweli kuwa ninae mchumba,kwa sababu mpka sasa nimemficha kuwa sina mchumba wala mpenzi.ukizingatia mchumba wangu yuko mbali kwa sasa na si mnajua tena GENYE ni shida nataka mtu wakuniliwaza wakati mchumba akiwa mbali.