Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
ahahaaa aende kambi ya wazee tu hakuna namnabora awe serengeti kazi aweze lkn vyote hana hela hana kitandani sifuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahaaa aende kambi ya wazee tu hakuna namnabora awe serengeti kazi aweze lkn vyote hana hela hana kitandani sifuri
Khaa vishuke kwanza ndo aje atafute mke hukuvitashuka toka mbinguni
hahahhh na kweli kambi ya wazee inamuhusuahahaaa aende kambi ya wazee tu hakuna namna
ndo anawafukuzaSasa huo umri babu si ukae tu ulee watoto
Alafu na pesa zenyewe hana!![emoji134] [emoji134] [emoji134]ndo anawafukuza
Sasa huyu ndio size yako.Khaa vishuke kwanza ndo aje atafute mke huku
Daah nimekuja mbio nikajikuta nafunga break ghafla
Babu Unazingua Bhana unataka tujisevie bibi Yetu wenyewe Kausha [emoji67]Ninafuatilia taraka kwa mke tuliyeshindwana kuendelea kuishi naye. Maswali yatajibiwa kwa potential wife through pm. Wasema hovyo wanaruhusiwa kuongea kuondoa stress zao. Ex wife anajijua, naomba usilete fujo kwenye pm, ila unaruhusiwa kujieleza hapa.
Maelezo ya msingi yanayo nihusu kusaidia mwenye kuamua
1. Sina mali yoyote, ila niko kuijenga
2. Umri miaka 65
3. Kazi, mkulima
4. Watoto wa kufikia 4, wote above 7 years
5. Dini sio muhimu.
nadhani kafukuzwa na begi lake tuAlafu na pesa zenyewe hana!![emoji134] [emoji134] [emoji134]
inashangaza sana mkuu.Walio serious watakuja.
Ila kwa nini msi solve migogoro yenu mkaishi mpaka mkazikana? Divorcing at 65?
Baba yangu umeniangusha.
Mungu hadanganyiMke mwema anatoka kwa Bwana
Haha...kwanini huyu mzee anaficha mali?
Huyo mtu mzima keshamakiza yote, hataweza kukusumbua ifanyie kazi hiyo applicationBado tunayafikiria maombi yake, application form iko pending.
Ninafuatilia taraka kwa mke tuliyeshindwana kuendelea kuishi naye. Maswali yatajibiwa kwa potential wife through pm. Wasema hovyo wanaruhusiwa kuongea kuondoa stress zao. Ex wife anajijua, naomba usilete fujo kwenye pm, ila unaruhusiwa kujieleza hapa.
Maelezo ya msingi yanayo nihusu kusaidia mwenye kuamua
1. Sina mali yoyote, ila niko kuijenga
2. Umri miaka 65
3. Kazi, mkulima
4. Watoto wa kufikia 4, wote above 7 years
5. Dini sio muhimu.