Ninafikiri naweza kupata a serious wife toka humu JF

Ninafikiri naweza kupata a serious wife toka humu JF

Sasa huo umri babu si ukae tu ulee watoto
 
Ninafuatilia taraka kwa mke tuliyeshindwana kuendelea kuishi naye. Maswali yatajibiwa kwa potential wife through pm. Wasema hovyo wanaruhusiwa kuongea kuondoa stress zao. Ex wife anajijua, naomba usilete fujo kwenye pm, ila unaruhusiwa kujieleza hapa.

Maelezo ya msingi yanayo nihusu kusaidia mwenye kuamua
1. Sina mali yoyote, ila niko kuijenga
2. Umri miaka 65
3. Kazi, mkulima
4. Watoto wa kufikia 4, wote above 7 years
5. Dini sio muhimu.
Babu Unazingua Bhana unataka tujisevie bibi Yetu wenyewe Kausha [emoji67]
 
Walio serious watakuja.

Ila kwa nini msi solve migogoro yenu mkaishi mpaka mkazikana? Divorcing at 65?
Baba yangu umeniangusha.
 
Ninafuatilia taraka kwa mke tuliyeshindwana kuendelea kuishi naye. Maswali yatajibiwa kwa potential wife through pm. Wasema hovyo wanaruhusiwa kuongea kuondoa stress zao. Ex wife anajijua, naomba usilete fujo kwenye pm, ila unaruhusiwa kujieleza hapa.

Maelezo ya msingi yanayo nihusu kusaidia mwenye kuamua
1. Sina mali yoyote, ila niko kuijenga
2. Umri miaka 65
3. Kazi, mkulima
4. Watoto wa kufikia 4, wote above 7 years
5. Dini sio muhimu.

Ushauri wako unahitajika
miss chagga
 
Back
Top Bottom