Ninafikiria kuanza kutoa tiba ya vidonda vya tumbo

Ninafikiria kuanza kutoa tiba ya vidonda vya tumbo

Elly official

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2018
Posts
730
Reaction score
989
Heshima kwenu wana bodi. Kwa miaka zaidi ya 15 nimekuwa nasumbuliwa na vidonda vya tumbo and sikuwa najua kama ni vidonda. Miaka kama ya 2013 ndo nlipimwa kwa mara ya kwanza nikaambiwa nina vidonda. Toka muda huo nimekuwa natumia dawa hpyroly kit mara kadhaa vinapotea baada ya miezi sita hadi kumi vinarudi tena. Mwaka jana dada yangu ambaye naye amekuwa na vidonda miaka zaidi ya 30 alipewa dawa na rafiki yake akanywa na akapona. Kwa vile hiwa sipendi dawa za kienyeji alinishawishi sana anitengenezee na mimi nikakataa. Mwanzoni mwa mwaka huu vilinikamata mpaka kiuno na mgongo wote ukawa unauma balaaa, ikabidi nikubali kuzinywa hizo dawa.

Mwezi wa tano mwanzoni alitengeneza akanipatia lita moja ya hizo dawa nizinywe kwa siku 40. Zilikuwa zinatisha mwonekano ila nlikuwa nafumba macho nakunywa hivohivo. Nashukuru nlikunywa angalau diku kama 25 zikaisha. Akatengeneza tena robotatu lita nikaitunza sikutaka tena kwani kinyesi kinakuwa cheusi tiiiiiiii. Maana dawa ni nyeusi kama oil chafu ya bodaboda.

Toka mwezi wa sita mwishoni nimeshapima mara saba nakutwa negative. Nasubiri hadi mwaka huu ukiisha sina vidonda basi nitaanza kuiandaa hii dawa na kuiuza kwa laki 2 tu. Maana uandaaji wake ni mgumu kupita maelezo unahusisha kuchochea miti usiku na mchana kwa siku nne kwenye chungu kilicho sealed bila kuweka maji hadi iwe majivu.
Dawa ni tamu kwani asilimia 80 ni asali mbichi ya nyuki wadogo.

Dawa ilobakia nlimpa bire staff mwenzangu akainywa kwa siku 5 bahati mbya tukasafiri akaisahau and tukiwa huko akaniambia hajisikii kuumwa vidonda tena na alikuwa anakula tu vyakula vyote bila shida. Nimeanzisha group la whatsap kwa maandalizi hayo. Hivyo mwenye kutaka kujiunga nitafute kwa namba yangu 0782183441. Nitakuunganisha tuendelee kusubiri nikijiridhisha kama nimepona hakika. Nitakuwa na uhakika miezi nane ipite toka nimemaliza dose.
 
Bro nikusanye majani kilo kumi, niyapike mpaka yawe majivu kwa siku nne, niyasage mpaka yawe fine dust, nitafute asali halafu unataka nikuchaji bei gani. Pia ni tiba nina uhakika nayo sana.
 
Bro nikusanye majani kilo kumi, niyapike mpaka yawe majivu kwa siku nne, niyasage mpaka yawe fine dust, nitafute asali halafu unataka nikuchaji bei gani. Pia ni tiba nina uhakika nayo sana.
Kiufupi watu wengi sana Tanzania na dunia nzima hata wazungu nao wanaitafuta hii dawa hivyo kama unatafuta kuiuza tu yaani kibiasha,basi laki mbili,ila kama unataka upate dhawabu kwa Mungu,pia upate wateja wengi na kutibu watu wengi sana ila sio kibiasha, Basi kwa maisha yetu hata ukifanya kwa tshs walau 50 elfu unaweza kupata watu wengi sana. Hapo inatakiwa iwe ndo Kazi yako,uwekeze,utapata faida Sana.
Kumbuka kuwa kwa mfano dar, kinondoni kuna research ilisema kuwa wanaume wengi hawana nguvu za kiume,hata kuugua vidonda vya tumbo nako inasababisha kukosekana KWA nguvu za kiume.
Sidhani Kama wewe ndugu yako alikuuzia hyo dawa kwa laki mbili
 
dawa ya vidonda vya tumbo no mafuta ya Mamba unakunywa kijiko asbuh kijiko jioni yaani ndani ya siku 7 umepona Kama una mgonjwa nichek nimuuzie mafuta litre 1 kwa elf 40 tu au aulizie kwenye maduka ya dawa za asili anywe aje anishukuru 0676780419
 
dawa ya vidonda vya tumbo no mafuta ya Mamba unakunywa kijiko asbuh kijiko jioni yaani ndani ya siku 7 umepona Kama una mgonjwa nichek nimuuzie mafuta litre 1 kwa elf 40 tu au aulizie kwenye maduka ya dawa za asili anywe aje anishukuru 0676780419

Mzee hayo mafuta hayana ladha ya asidi kweli ?
 
Nafikiri Mimi nimepona hivo kuna dada nilimpa hii dawa ametumia bure kabisa bahati mbaya nilipoteza namba yako. wewe dada wa moshi mwenyeji wa mara kama utasoma hii thread naomba uje basi utoe ushuhuda kama umepona ama la
 
Nafikiri Mimi nimepona hivo kuna dada nilimpa hii dawa ametumia bure kabisa bahati mbaya nilipoteza namba yako. wewe dada wa moshi mwenyeji wa mara kama utasoma hii thread naomba uje basi utoe ushuhuda kama umepona ama la
Jaman nimepima mara sita kujiridhisha kama nimepona. Mara ya mwishi nilipima TMJ mwezi uliopita. Nimekuwa nikila ovyo bila kufuata mashariti nakula maharage vizuri tu so nafikiri hii dawa imeniponesha hivo nipo tayari kukuuzia dawa
 
Wabongo sio watu, nimemtibu mtu hadi amepona amenidhulumu hela nliambulia majuto tu. Shkamoo uliyenidhulumu
 
Mimi nikipona kabisa ata 300k nakulipa....ila nataka guarantee
 
Back
Top Bottom