Ninafuga, Ninachinja na Kuuza Nguruwe

Ninafuga, Ninachinja na Kuuza Nguruwe

Mkuu unafanya biashara haramu sana

Kumbukumbu la torati 14:3 Usile kitu cho chote kichukizacho.
4 Wanyama mtakaokula ni hawa ng'ombe, na kondoo, na mbuzi,
5 kulungu, na paa, na kongoni, na mbuzi wa mwitu, na paa mweupe, na pofu, na mbuzi wa mlima;
6 na kila mnyama aliyepasuliwa ukwato, ukapasuka ukwato wake zikawa mbili, naye ni mnyama mwenye kucheua akatafuna tena, katika wanyama wote, ndiye mnyama mtakayemla.
7 Lakini, hawa msile katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu;
8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.
9 Mtakula hawa katika wote walio majini; kila kilicho na mapezi na magamba mtakula;
10 na kila kisichokuwa na mapezi na magamba msile; ni najisi kwenu.
11 Mna ruhusa kula katika nyuni wote walio safi.
12 Lakini hawa msiwale; tai, na furukombe, na kipungu;
13 na kengewa, na kozi, na mwewe kwa aina zake;
14 na kila kunguru kwa aina zake;
15 na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;
16 na bundi, na mumbi, na bundi mkubwa;
17 na mwari, na nderi, na mnandi;
18 na membe, na koikoi, kwa aina zake; na hudihudi, na popo.
19 Na wadudu wote watambaao wenye mabawa ni
Mathayo 15:15 Hakuna kitu kinachomwingia mtu kimtiacho unajisi, lakini kile kimtokacho ndicho kimtiacho unajisi
 
Mkuu unafanya biashara haramu sana

Kumbukumbu la torati 14:3 Usile kitu cho chote kichukizacho.
4 Wanyama mtakaokula ni hawa ng'ombe, na kondoo, na mbuzi,
5 kulungu, na paa, na kongoni, na mbuzi wa mwitu, na paa mweupe, na pofu, na mbuzi wa mlima;
6 na kila mnyama aliyepasuliwa ukwato, ukapasuka ukwato wake zikawa mbili, naye ni mnyama mwenye kucheua akatafuna tena, katika wanyama wote, ndiye mnyama mtakayemla.
7 Lakini, hawa msile katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu;
8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.
9 Mtakula hawa katika wote walio majini; kila kilicho na mapezi na magamba mtakula;
10 na kila kisichokuwa na mapezi na magamba msile; ni najisi kwenu.
11 Mna ruhusa kula katika nyuni wote walio safi.
12 Lakini hawa msiwale; tai, na furukombe, na kipungu;
13 na kengewa, na kozi, na mwewe kwa aina zake;
14 na kila kunguru kwa aina zake;
15 na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;
16 na bundi, na mumbi, na bundi mkubwa;
17 na mwari, na nderi, na mnandi;
18 na membe, na koikoi, kwa aina zake; na hudihudi, na popo.
19 Na wadudu wote watambaao wenye mabawa ni
Sijui kwanini mtu ukiona kitu hakikuhusu unajitahidi uharibu .



Kuna ulazima wewe usome kuhusu nguruwe na katazo la dini yako


Tuheshimu wengine ila nao watuheshimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unafanya biashara haramu sana

Kumbukumbu la torati 14:3 Usile kitu cho chote kichukizacho.
4 Wanyama mtakaokula ni hawa ng'ombe, na kondoo, na mbuzi,
5 kulungu, na paa, na kongoni, na mbuzi wa mwitu, na paa mweupe, na pofu, na mbuzi wa mlima;
6 na kila mnyama aliyepasuliwa ukwato, ukapasuka ukwato wake zikawa mbili, naye ni mnyama mwenye kucheua akatafuna tena, katika wanyama wote, ndiye mnyama mtakayemla.
7 Lakini, hawa msile katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu;
8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.
9 Mtakula hawa katika wote walio majini; kila kilicho na mapezi na magamba mtakula;
10 na kila kisichokuwa na mapezi na magamba msile; ni najisi kwenu.
11 Mna ruhusa kula katika nyuni wote walio safi.
12 Lakini hawa msiwale; tai, na furukombe, na kipungu;
13 na kengewa, na kozi, na mwewe kwa aina zake;
14 na kila kunguru kwa aina zake;
15 na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;
16 na bundi, na mumbi, na bundi mkubwa;
17 na mwari, na nderi, na mnandi;
18 na membe, na koikoi, kwa aina zake; na hudihudi, na popo.
19 Na wadudu wote watambaao wenye mabawa ni
Shida ya kuwa na kichwa ambacho kazi yake ni kufugia tu nywele. Mnyama wa kwanza kabisa kutajwa asiliwe ni NGAMIA, huyu nyie Walawi na Waislamu mnakula ila mkifika kwenye Sendema Munono mnajifanya kunukuu maandiko. Nafikiri walioambiwa wasile nguruwe hawali, sisi Wakristo, tunaoishi kwa Neema itokayo kwa Bwana wa Utakaso tunakula, tena kwa kuburudika sana
 
Me nahitaji piglets hasa ile mbegu ya umbo kubwa kwa ajili ya ufugaji.
 
ÑGURUWE SIZANI KAMA KUNA DINI INARUHUSU KULA NGURUWE HATA UKIACHANA NA DINI WATAALAMU WA FYA WANASEMA NGURUWE SI WAZURI KWA AFYA NA WANA VIRUSI VINGI VINAVYOMUATHIRI MWANADAMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilo 8,000...Ipo haja ya kufukuza majini.

Everyday is Saturday..................... 😎
 
Kwa sisi
Habari. Nauza Nguruwe.
Madume yaliyo hasiwa Yapo.
Madume ya Mbegu Yapo.
Na Majike ya Mbegu Yapo.

Ukihitaji Nyama.
Kilo 1 ni Tshs 8,000/=

Kama unataka Nguruwe, au Kula Nyama ya Nguruwe.

Piga simu au tuma Message kupitia namba +255738141339 au +255714313711

Kama upo WhatsApp, tumia namba hii +255753708485


Group la WhatsApp la Wateja hili hapa Nsanya's Pork Park 🪂

Nipo Manzese, Mabwe Pande
Bunju B. Dar es Salaam

Instagram pia 👉🏿 Natumia jina @nyamayanguruwe
Na @dalaliwamagariused

Karibu Sana.
View attachment 1397986View attachment 1397987View attachment 1397988
Kwa sisi wafugaji wapya huku mikoani, hii inatupa picha kwamba soko la kitoweo hiki bado ni changamoto kubwa hivyo bado tuna safari ndefu ya kujikwamua kupitia ufugaji huu wa nguruwe.
 
Back
Top Bottom