ninahamu sana lakini ndio hvooooo

Beautifullgirl

Senior Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
100
Reaction score
15
Habari zenu wakubwa na wadogo zangu....narudi tena kwa shida ileile ya wiki kadhaa nyuma...Nimeapply TCU Diploma Category nimefikia katika step inayosema NTA LEVEL F
6,FTC,TEACHERS,OTHERS hapo nikachagua NTALEVEL6 nikaweka no yang ya mtihan ikakataa no ya chuo ya registration iliyosajiliwa na nacte pia imekataa na nilipoenda OTHERS pia katika duration nikiiandka naambiwa cio sahihi plspls kwa wenye uzoefu au anaeelewa naomba anisaidie.
 
Heading na maelezo mbona tofauti, mi nilijua kweli una hamu
anyway jaribu kuwapigia NACTE na TCU huenda wakakusaidia zaidi kuliko maneno ya humu jamvini.
 
Kwel una hamuu....!tena nahc ya kumpataa degree
 
kabla hujaendelea hakikisha kwanza diploma una gpa 2.7 and above,then a-level una hata principal moja.then ukifika kwenye stage inayohitaji NSR ID hapo unaweka registration namber yako ya chuo,kama itakuwa inagoma tena basi wasiliana nao,lakini kama ulijaribu mwezi uliopita ndo ikagoma jaribu tena mwezi huu coz walifanya mabadiliko fulani hasa kwa wale ambao hawakuwa na principal yeyote a-level,njia ya kuwasiliana nao jaribu kulike page yao facebook alafu unawa inbox,mimi walinijibu huko coz na mimi ilinisumbua sana,hatimaye baada ya kuona tangazo lao facebook nilipoenda tena kujaribu Mungu akasimama upande wangu ikakubali
 
Kwa sasa wanaruhusiwa wale waliomaliza diploma mwaka 2013,ndio muda wao unaishia tarehe 31 july 2013.
 
Heading na maelezo mbona tofauti, mi nilijua kweli una hamu
anyway jaribu kuwapigia NACTE na TCU huenda wakakusaidia zaidi kuliko maneno ya humu jamvini.

Asant apa bila heading ya kuhamasisha post uako haitasomwa
 

Asante xana allah akuzidishie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…