Ninahisi hawa wawili ni Ndugu tena wa damu kabisa ila pengine hawajuani hivyo kwa tulio karibu nao tuwatambulishe

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nikimuona Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma naiona Sura ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na kila nikimuona Rais Kenyatta hasa Sura yake namwona Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Juma. Wanafanana hadi wanaudhi kama siyo kukera.

Nawasilisha.
 
Nikimuona Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma naiona Sura ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na kila nikimuona Rais Kenyatta hasa Sura yake namwona Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Juma. Wanafanana hadi wanaudhi kama siyo kukera.

Nawasilisha.
Wote hao pamoja na wewe mtoa mada ni wavuta bange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…