Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nduguzanguni.
Mimi ni mkazi wa Shinyanga, I have my Girlfriend in Dar.
I came To Dar from The Monday of Last week.
Nimekuja purposely kumtimizia haja Girlfriend wangu kimapenzi.
Ukweli we no longer use any sought of protection, actually tunataka kufunga ndoa and we agreed that I have to be sure of her Fertility.
its almost a week and half since we are having sex. (unprotected)
Cha ajabu ni kwamba jana, nimeona kitu kama usaha kwenye njia ya mkojo ya uume wangu.
Am I not a walking dead creature.
yaani hapa nashindwa sasa naanzaje kwenda kupima ukimwi na hii viral inspection.
Please advise.
Thanks in advance
Kikelelwa.
Mzee pole, ila kumbuka dawa ya kwanza ktk mwili ni kuondokana na woga usio na msingi (phobia) jipe ujasiri na usijiogopeshe ukapime UTI na kisha Ukimwi ukipata ujasiri zaidi.
Hofu isipopata tiba sahihi ni hatari kwa ustawi wa afya yako kuliko huo ukimwi unaouhofia, angalizoKwanza umeniudhi kusema ami a walking.... Huo ni unyanyapaa what if km kweli una HIV?? Nenda kapime na upate ushauri nasaha mapema......
<br /><br />Gonjwa la zinaa hilo kaka, kama sio Gono basi Kaswende..haichezi nje ya hapo.