Ninahisi nimebugi, nataka tuandikishiane nimpe milioni 5 ya msingi. Anipe mwanangu atakapofikisha umri

Ninahisi nimebugi, nataka tuandikishiane nimpe milioni 5 ya msingi. Anipe mwanangu atakapofikisha umri

lufulondama

Member
Joined
Nov 13, 2019
Posts
95
Reaction score
194
Habari za asubuhi, wanajamiiforums.

Niko hapa kuomba msaada kwa haya yanayonisibu. Mimi ni kijana wa umri wa miaka30 kamili. Ni mwajiriwa serikalini. Niko hapa kuwataka msaada wa kimawazo kwa hali ninayopitia ambapo naona kama kuna kitu hakiko sawa kwangu.

Niliwahi kuishi kwenye ndoa kwa takribani miaka miwili ambapo hatma ya ndoa ilikua kufiwa kwa mwenza wangu hivyo nikabaki single. Hii imetokea last year 2019 March. Baada ya kukaa kwa takribani miezi 9, baada ya kukutwa na hili, niliamua kutafuta mwenza mwingine ambaye tungesongesha maisha ndipo nakutana na changamoto hizi.

Nilipata binti wa kijaluo toka ujaluoni ambaye ni mhitimu wa elimu ngazi ya degree ila hana ajira. Binti niliempata nimemkuta akiwa na mtoto mmoja wa miaka tisa. Kiufupi kabla sijapata uhakika wa tabia za binti vizuri nilijikuta naingia kwenye mtego baada ya binti huyu kupata ujauzito.

Licha ya kuwa sikujipanga ila nilifurahi sana kwani sijabahatika kupata mtoto na akaishi. (Marehemu mke wangu amefariki akiwa na kichanga changu pia). Sasa baada ya kuamua kulea ule ujauzito ambao mpka sasa tunategemea kupata kichanga next year January, nikajikuta napewa jukumu la kumlea yule mtoto niliemkuta kielimu (kulipia ada na mahitaji mengine).

Baada ya muda binti akaja kuishi kwangu nami nikaliafiki hilo ili tuzidi kufanya maisha nikiwa na imani kuwa nitamrasimisha soon tu baada ya kujifungua mtoto.

Leo ni wiki sasa kuna mambo yamejitokeza, binti aliniambia niwe na uharaka wa kumtolea mahali kabla Desemba. Baada ya kuambiwa kuhusu hilo niliamua kudodosa uhalisia wa kiasi cha pesa ambacho ningetakiwa kutoa kama mahari, nikawa nimejibiwa. Ila kuanzia juzi kuna kitu nimekinotice, kuanzia baba, mama, baba mkubwa na wengine wengi kila mmoja amekua akitaja kiasi cha pesa au kitu anachokihitaji ili kiwe nimekiambatanisha kwenye hio mahari, baada ya kupiga mahesabu naona kabisa inazidi 2m na hapo hapo majukumu mengine yananikabili. (Nauguza mama angu mzazi ambaye yuko hoi kitandani).

Baada ya kuliona hili binti haoneshwi kustushwa na taarifa ya kuuguliwa kwangu pengine tukasogeza mbele hii shughuli yeye anaishia kusema pole tu huku mengine yakiendelea(means hizo taratibu zake za kutaka mwisho wa mwezi huu niende kwao).

Kuna kitu nimegundua kuwa nisipokua makini jamii yangu itanishangaa endapo nitaenda kutoa mahali na wakati tuna mgonjwa akiwa hoi.

Nayoyafikiria kichwani mwangu ni haya, Nimekuwa mtu wa kupoteza muda wangu na pesa zangu kujaribu mahusiano ambayo yatakua yenye tija kwangu hivyo muda unaenda na sioni kupiga hatua za maendeleo yangu binafsi.

Nataka nichukue kiasi cha milioni 5 au 4 kisha nimkabidhi kwa maandishi mbele ya wanasheria kuwa ninampa kama msingi wake utaomsaidia baada ya kujifungua kufanya lolote ambalo, lakini pia kuandikisha kuwa nitalea ujauzito na mtoto baada ya kujifungua salama mpaka atakapofikia umri nimchukue niishi nae mwenyewe. Kiufupi naona nataka kupata mzigo mkubwa sana mbeleni nisipokua makini.

Naombeni msaada wenu wakuu ninahisi nimebugi kwa hili aisee nifanye nini kwa mazingira hayo.
UPDATE:Hakuna mwitikio chanya hata baada ya kuamua kumueleza binti kua tusitishe rasmi zoezi mpka bi mkubwa apone, naona ni full kununa tu
 
Kuhusu kuuguza hakuna shida kiongozi huko wala hitajio sio pesa Huko hitajio ni Mwenyezi Mungu amponye tumepambana sana kwa miaka minne alikua anapata unafuu ila now naona hali imechange kabisa.
Mkuu usihangaike na mtoto wa mwenzako wanawake wengine ni pasua kichwa
Uliona wapi siku hizi watu wanatoa mahari kama unaenda kununua mgodi wa madini

Mwambie akulipie iyo mahari yeye then kama anakupenda
 
Mkuu kimbia futi 100,,,, hakuna mke hapo , huyo yupo kimaslahi,,,,

Concentrate kwenye kumlea your one and only mom,,,,

30 yrs kwa mwaume its fine,,, tafuta girl mwingine, mahari mengi wakati jitu lishazalishwa huko ? Kuwa na msimamo, mwambie kwa sasa huna hela , upo bize kuuguza , na usipromise nilini utatoa hayo mahari ,,,,

Then mwache aamue, yy kusuka ama kunyoa ! Be a man mkuu !

Khs mtoto, poa akienda kwao mlee tararibu akijifungua na kumaliza uzazi mpe kamtaji kadogo let's say mfungulie hata genge, mwambie Mambo madogo madogo ya mtoto atayapata hapo,, issues kubwa ndo akushirikishe ,,,,
 
Mkuu kimbia futi 100,,,, hakuna mke hapo , huyo yupo kimaslahi,,,,

Concentrate kwenye kumlea your one and only mom,,,,

30 yrs kwa mwaume its fine,,, tafuta girl mwingine, mahari mengi wakati jitu lishazalishwa huko ? Kuwa na msimamo, mwambie kwa sasa huna hela , upo bize kuuguza , na usipromise nilini utatoa hayo mahari ,,,,

Then mwache aamue, yy kusuka ama kunyoa ! Be a man mkuu !

Khs mtoto, poa akienda kwao mlee tararibu akijifungua na kumaliza uzazi mpe kamtaji kadogo let's say mfungulie hata genge, mwambie Mambo madogo madogo ya mtoto atayapata hapo,, issues kubwa ndo akushirikishe ,,,,
Nazidi pata mwangaza ila mimi nilitaka kumnawa siku hio hio ambayo yeye ndio anaona inafaa kama alivypanga ndio nitoe hio statement na nimpe pesa akafie mbele imagine iko hivi,.
Baba mkubwa anasema yeye awekewe laki tatu kwa bahasha yake, Mama laki tatu na vikorokoro kibao, kaka nae anatak laki 2 , Mzee anatamka kua lazima apate ngombe wawili wa kisasa wa maziwa na mengine mengi, ninaona bora nikae single sio kwa uoaji huu aisee
 
Mizigo ninayoona hapa ni.kulazimishwa kumsomesha huyo mtoto wake mkubwa.

Pili kwa nini anakazimisha ufanye fasta wakati mama yako ni mgonjwa? Hiyo ndoa atakaaje nayo bila furaha ya mama mkwe akiwa na afya njema.

Wewe nae umekosa mwanamke ambae hana mtoto? Mbona wapo? Mbona bado wewe mdogo unakimbizwa na nini?

Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni kama kununua shamba lenye mgogoro.
Usipomlipia mwanae ada, atamtafuta baba yake, na Siku mkeo anaenda kuchukua ada lazima amgegede hakuna kutoa ada ya bure, maisha yataenda hivyo, kati ya watoto mtakao zaa sio lazima wote wawe wako. Kitanda hakizai halamu.

Pambana.
 
Hawa wanawake saizi ni pasua kichwa ukiwa hivi yeye anataka vile ukiwa vile yeye anata hivi yan mwanamke kweli niishi nae kwa akili
 
Mizigo ninayoona hapa ni.kulazimishwa kumsomesha huyo mtoto wake mkubwa.

Pili kwa nini anakazimisha ufanye fasta wakati mama yako ni mgonjwa? Hiyo ndoa atakaaje nayo bila furaha ya mama mkwe akiwa na afya njema.

Wewe nae umekosa mwanamke ambae hana mtoto? Mbona wapo? Mbona bado wewe mdogo unakimbizwa na nini?

Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni kama kununua shamba lenye mgogoro.
Usipomlipia mwanae ada, atamtafuta baba yake, na Siku mkeo anaenda kuchukua ada lazima amgegede hakuna kutoa ada ya bure, maisha yataenda hivyo, kati ya watoto mtakao zaa sio lazima wote wawe wako. Kitanda hakizai halamu.

Pambana.

Nina sababu ya msingi na ya usiri kidogo kujibebisha ili nipate mtoto huyu nayemtarajia , kuhusu hilo sina namna ndio maana najibebisha, ila sasa linapokuja suala la kutaja kupelekwa pupa hivi ndio ninapochoka laiti ningeweka picha ya mama angu mzazi mkaona hapa hali aliokua nayo machozi yangewatoka, ila mwenzangu kaonesha mstuko mdogo sana sana kuhusu ugonjwa wa mama mkwe wake, Pesa sio tatizo nataka nijilipue kwa dizain hio akafie mbele nitachukua mwanangu na ninatka hio hela nikawakabidhi wazee wake na yeye akiwepo ili iwe funzo, nimemleta mkoa now miez minne, namhudumia, natuma ada ya mtoto mia mbili kila mwezi (200k) ikijumuisha na usafiri na mahitaji mengine, sasa limekuja suala hili baada ya kuona kahela flani kametiki kanasubir kuingia kwa akaunti tu , Nimeanza letewa orodha ndefu namna hii?.

Nitakapofanya haya mbele ya wazazi wake watapata fundisho pengine.
 
Habari za asubuhi, wanajamiiforum.
Niko hapa kuomba msaada kwa haya yanayonisibu. Mimi ni kijana wa umri wa miaka30 kamili. Ni mwajiriwa serikalini. Niko hapa kuwataka msaada wa kimawazo kwa hali ninayopitia ambapo naona kama kuna kitu hakiko sawa kwangu.

Niliwahi kuishi kwenye ndoa kwa takribani miaka miwili ambapo hatma ya ndoa ilikua kufiwa kwa mwenza wangu hivyo nikabaki single. Hii imetokea last year 2019 March. Baada ya kukaa kwa takribani miezi 9, baada ya kukutwa na hili, niliamua kutafuta mwenza mwingine ambaye tungesongesha maisha ndipo nakutana na changamoto hizi.

Nilipata binti wa kijaluo toka ujaluoni ambaye ni mhitimu wa elimu ngazi ya degree ila hana ajira. Binti niliempata nimemkuta akiwa na mtoto mmoja wa miaka tisa. Kiufupi kabla sijapata uhakika wa tabia za binti vizuri nilijikuta naingia kwenye mtego baada ya binti huyu kupata ujauzito.

Licha ya kuwa sikujipanga ila nilifurahi sana kwani sijabahatika kupata mtoto na akaishi. (Marehemu mke wangu amefariki akiwa na kichanga changu pia). Sasa baada ya kuamua kulea ule ujauzito ambao mpka sasa tunategemea kupata kichanga next year January, nikajikuta napewa jukumu la kumlea yule mtoto niliemkuta kielimu(kulipia ada na mahitaji mengine).

Baada ya muda binti akaja kuishi kwangu nami nikaliafiki hilo ili tuzidi kufanya maisha nikiwa na imani kuwa nitamrasimisha soon tu baada ya kujifungua mtoto.

Leo ni wiki sasa kuna mambo yamejitokeza, binti aliniambia niwe na uharaka wa kumtolea mahali kabla Desemba. Baada ya kuambiwa kuhusu hilo niliamua kudodosa uhalisia wa kiasi cha pesa ambacho ningetakiwa kutoa kama mahari, nikawa nimejibiwa. Ila kuanzia juzi kuna kitu nimekinotice, kuanzia baba, mama, baba mkubwa na wengine wengi kila mmoja amekua akitaja kiasi cha pesa au kitu anachokihitaji ili kiwe nimekiambatanisha kwenye hio mahari, baada ya kupiga mahesabu naona kabisa inazidi 2m na hapo hapo majukumu mengine yananikabili. (Nauguza mama angu mzazi ambaye yuko hoi kitandani).

Baada ya kuliona hili binti haoneshwi kustushwa na taarifa ya kuuguliwa kwangu pengine tukasogeza mbele hii shughuli yeye anaishia kusema pole tu huku mengine yakiendelea(means hizo taratibu zake za kutaka mwisho wa mwezi huu niende kwao).
Kuna kitu nimegundua kuwa nisipokua makini jamii yangu itanishangaa endapo nitaenda kutoa mahali na wakati tuna mgonjwa akiwa hoi.

Nayoyafikiria kichwani mwangu ni haya, Nimekuwa mtu wa kupoteza muda wangu na pesa zangu kujaribu mahusiano ambayo yatakua yenye tija kwangu hivyo muda unaenda na sioni kupiga hatua za maendeleo yangu binafsi.

Nataka nichukue kiasi cha milioni 5 au 4 kisha nimkabidhi kwa maandishi mbele ya wanasheria kuwa ninampa kama msingi wake utaomsaidia baada ya kujifungua kufanya lolote ambalo, lakini pia kuandikisha kuwa nitalea ujauzito na mtoto baada ya kujifungua salama mpaka atakapofikia umri nimchukue niishi nae mwenyewe. Kiufupi naona nataka kupata mzigo mkubwa sana mbeleni nisipokua makini.

Naombeni msaada wenu wakuu ninahisi nimebugi kwa hili aisee nifanye nini kwa mazingira hayo.
Wewe kweli humpendi, umpe una ela ya kumpa zaidi ya milion 4 halafu kulipa mahari ya milion 2 unalalamika?
We sema ukweli ni kwamba tu kuna wenzako wamekujaza maneno usioe single mother na unataka kimbia majukumu ya kulea mtoto uliyemkuta naye sasa nawe umemuongezea tena mzigo wa kuwa double single mother sijui unataka sasa mbeleni aje amuoe nani.
 
Wewe kweli humpendi, umbe una ela ya kumpa zaidi ya milion 4 halafu kulipa mahari ya milion 2 unalalamika?
We sema ukweli ni kwamba tu kuna wenzako wamekujaza maneno usioe single mother na unataka kimbia majukumu ya kulea mtoto uliyemkuta naye sasa nawe umemuongezea tena mzigo wa kuwa double single mother sijui unataka sasa mbeleni aje amuoe nani.
Hio hela nilikua nimeitenga kwa procedure za kumrasimisha yeye tu. Na analifahamu hilo manake ndio bajeti yetu, sasa linapokuja suala la kuuguliwa na mtu haoneshi kujali hapo ndipo unapopata akili kua huyu target yake sio shida na raha, Niko kwenye shida yangu hataki kushea nami bado anazidi ipigania furaha yake tu. Sijala limbwata sheikhe nina akili timamu nachoomba hapa nikumuacha katika namna ambayo yeye mwenyewe, atajua cha kufanya nini nn mbeleni pasipo kunisumbua. Usingle maza wakati mwingine sio kosa hujui huko nyuma ilikuaje, Na kwa akili ya kawaida mtu uwe single maza tena msomi na akili timamu unapokuja kusimamia pengine kile anachokiita kua ni taratibu za kabila lao inakua ni sawa na kukomoana, Natak kuchukua pesa yote ya mahali plus nauli sijui mavazi sijui , yote niwakabidhi nifanyeyangu.
 
Huyo jamaa aliyezaa naye yupo wapi?

Kwanini unakimbilia kwenye kina kirefu chenye mamba wakali???

Yaani mkeo wa ndoa kafa mwaka jana na kichanga tumboni, mwaka huu umeshatia mtu mimba tena mjaluo mwenye mtoto!!!
Unasikitisha sana!.

Utakipata unachokitafuta.
 
Huyo jamaa aliyezaa naye yupo wapi?

Kwanini unakimbilia kwenye kina kirefu chenye mamba wakali???

Yaani mkeo wa ndoa kafa mwaka jana na kichanga tumboni, mwaka huu umeshatia mtu mimba tena mjaluo mwenye mtoto!!!
Unasikitisha sana!.

Utakipata unachokitafuta.
Huko ni kutokuwaza pia kiongozi, iko hivi.
Binti kapewa ujauzito akiwa form two, akazaa baada ya hapo ndio akaendelea na skuli.
Amegraduate last year tu hapo kigamboni mwalimu Nyerere, alifanya education na ni jaluo by jina ila asilimia mia maisha yake yote ni jiji lenye hilo la mmpenda sifa anayegombea ubunge
 
Back
Top Bottom