Ninahisi nimebugi, nataka tuandikishiane nimpe milioni 5 ya msingi. Anipe mwanangu atakapofikisha umri

Unajua mtu unapoomba ushauri mara nyingi unakuwa ushafanya maamuzi, msemo wa serikali yako kichwa chako ndipo unaapply. Fanya kile unachohisi ni sahihi maana mahusiano hayana formula hata mimi ya kwangu yalinishinda usione niko hapa nakushauri wewe wakati mimi mwenyewe nina mtoto wa miaka mitano nalea mwenyewe
 

Sasa uchukue hela uwakabidhi ili iweje sababu hata ukiwapa milion 5 itaisha atakuja na kukuomba hela tena wewe cha kufanya lea mimba tuu na baadae uwe unampa hela ya mwisho wa mwez pind mtoto azaliwapo,huyo sio wa kuoa kbs mana inaonesha hayupo tayar kuwa mke wa mtu wa shida na raha
 
Angalia huyo mjaluo kama chimbikonlake siyo kenya utapigwa hela zako ma atasepa. Vinginenyo wajaluo makubaliano ya mahari hufanywa na baba mzazi wala siyo ndugu wa mke. Mama mkwe yeye anapewa blanketi na hela kidogo kama laki mbili.

Unachukua ndugu zako kama wazazi wanakaa meza mona na mzazi mwenzio wa upande wa moe wako wanakibaliana mahari tena ni ng'mbe hao ngombe ndo unaconvert to pesa. 5 cows wanatosha usawa huu.

Halafu kwa wajaluo mtu aliyezaa kwao ni reject unaweza kuchukua kwa gharama nafuu sana maana hana maana hapo kwao tena.
 
Mkuu pole,japo hayo Mambo yanaeeza kuwa ni magumu kwa upande wako HEBU ACHA UJINGA AISEE!!!🙏🙏🙏
 
Eti milioni tano ya nini?..!!,,
We kijana una hela za kuchezea eeh?
 
Hauko sawa kiakili
 
Unatia huruma ila wewe ni dhaifu kwa sababu zifuatazo:
Unapangiwa lini uoe na kupeleka posa

Unapangiwa umuuguze mama yako kwa namna isiyomuathiri anayekupangia

Ulikuwa na papara ya kuingia kwenye mahusiano serious bila tathmini ina maana mwanamke alijua anaweza kukupeleka anapotaka

Unachotaka ni kuvunja mahusiano maana milioni mbili ya mahari unaiona ni nyingi ila milioni tano ya kumwacha mwanamke upo tayari kuitoa.

Inaonekana unaoa sababu ndugu wa mke wanakulazimisha.
 
Acha uzombi, waambie nimekwama tu. wakizingua unawazingua.
Yaani hujaoa watu wanakupa stress ukioa si ndo utachanganyikiwa.
Usitoe hela yoyote we endelea kuishi naye na kwao huendi kutoa posa na mambo yako endelea kufanya. kama mbwai na iwe mbwai tu
 
Wajaluo hua hatuko hvo kwenye utoaji wa mahari kwamwe sijawai kuona wala kusikia hapo unapigwa mkuu! Iko hvi sisi hua tunatoa Ni hela ya posa ambayo Mara nyingi haizidi laki 3 kama umejitahidi sana na hiyo hela Ni ya mama Mkwe baba hagusi hata 100 then ndo inafuata mahari ambayo mtakubaliana ila kama Ni ng'ombe haizidi 6 hatuna vitu vingine sijui sufuria Mara jembe n.k hivo havipo hao wameona kidogo una kipato ndo wanataka kukupangia vingi hvo Achana nae huyo si mwanamke wa kuoa hakutakii mema
 
Unakosa Mil 2 ya shughuli ya Mahari lakini Unapata Mil 5 ya kumkabidhi binti muweke mkataba????? Serious mkuu???? Wewe kama ulikuwa na nia ya kumuoa bhasi ungeenda kwao wakaongee na ndugu hiyo hela itapungua sana Tu mahari sio kitu fixed mzee unaweza toa hata 1.5 au Moja kabisa.

Kingine mama yako anaumwa bhasi mwambie Mkeo msubiri kwanza apone alafu usikie atasemaje maana haya hujampa hilo wazo uone mwenzio atajibu nini ushamuhukumu...serious??? Hatuishi kwa hisia mkuu wewe ongea nae ataelewa tu tayari ana mimba unadhani anaenda wapi sasa???? May b useme hukumpenda alafu pia ni SINGLE MAZA TAYARI ANA MTOTO...!! So unaona mahari kubwa hivyoo haifaiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli kwa single maza Mil Inatoshaa sanaaaaaa....
 
Aisee we ni kijana jasiri Sana mkuu. Huyo mwanamke ni wa kumkwep. Kwanza hamna mke hapo. Alafu jingine mkuu Hawa watu usiwabembeleze Sana Kuna ka weakness mwanamke ameuona kwako hivyo anataka aitumie Kama fimbo.. nadhani kuoa kwasasa baada ya najaribu uliopitia sio vyema Sana. Tafuta michepuko ya kutosha janza hata mimba tatu au nne huko mtaani. Epuka kuishi na mwanamke ambae hana future au msaada wowote ambae hana hata huruma. Wengine wamzalishe wewe umemsaidia kulea mtoto wa mwanaume mwingine bado akuendesha Kama Bedford. Aisee ungekuwa karibu ungekula kelbu moja matata. Kwanza una uhakika wa hio mimba kuwa yako. Kwann asisubiri azae kwanza, mama mzazi apate ahueni alafu ndio Mambo ya kwenda kwao yaanze. Tena suala la ndoa usiliweke kwanza. Watu wanaishi suria miaka hata kumi na tano wanakuja kupasha kiporo baadae, baada ya milima na mabonde.
 
Kosa la mwanamke hapo liko wapi?????
 
Hio hela mil 5 tafuta kiwanja nunua Jenga nyumba za wapangaji mtoto akizaliwa ukahakiki ni wako andikisha jina la mtoto lala mbele huyo Malaya Hana lengo zuri.
Pili hio mimba Ina mashaka
 
Mdogo wangu kimbia fasta toka nduki we kimbia ukianguka ukistuka Inuka vumilia kimbia fasta toka nduki we kimbia ukianguka ukistuka Inuka vumilia
 
Hio hela mil 5 tafuta kiwanja nunua Jenga nyumba za wapangaji mtoto akizaliwa ukahakiki ni wako andikisha jina la mtoto lala mbele huyo Malaya Hana lengo zuri.
Pili hio mimba Ina mashaka
Ilaa mna muhukumu mapema sana huyu binti sijaona baya alilofanya...!!
 
yaani akili imekataa unachokifanya

hiyo hela unayojitia kiherehere kuipoteza iwekeze kwenye matibabu bora ya mama yako

na huyo siyo demu wa kuoa ni wa kugonga na kuacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…