ninahitaji girl friend

ninahitaji girl friend

marandu2010

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2010
Posts
1,201
Reaction score
446
nina umri wa miaka 25,ninahitaji girlfriend mwenye umri kuanzia 18-23,awe atleast amesoma mpaka kidato cha sita,mkiristo,anayejiheshimu,mrembo na sifa nyingine nzuri. kama upo interested tuwasiliane kwa namba 0713327429.
 
Hujahamia hata airtel hadi leo, gfriend wa nn?
 
nina umri wa miaka 25,ninahitaji girlfriend mwenye umri kuanzia 18-23,awe atleast amesoma mpaka kidato cha sita,mkiristo,anayejiheshimu,mrembo na sifa nyingine nzuri. kama upo interested tuwasiliane kwa namba 0713327429.

Nenda kanisani mbona utawapata wengi tu
 
:bored:

Hell no.........it smell fishy....................
 
nina umri wa miaka 25,ninahitaji girlfriend mwenye umri kuanzia 18-23,awe atleast amesoma mpaka kidato cha sita,mkiristo,anayejiheshimu,mrembo na sifa nyingine nzuri. kama upo interested tuwasiliane kwa namba 0713327429.

Ngoja nikuletee . . . .
 
nina umri wa miaka 25,ninahitaji girlfriend mwenye umri kuanzia 18-23,awe atleast amesoma mpaka kidato cha sita,mkiristo,anayejiheshimu,mrembo na sifa nyingine nzuri. kama upo interested tuwasiliane kwa namba 0713327429.

Kweli huu ni mfumo wewe 25 lakini wa miaka 18 ili umtawale eeeh.
 
Mimi nina dada wa rafiki yangu tumezoeana kiasi kwa hiyo huwa ananiambia kuwa anataka boyfriend, ana miaka 22, ila hajaguswa kabisaaa!! Saizi anasoma degree ya kwanza kwenye mambo ya pesa katika chuo fulani, yeye siyo mkristo wala siyo mwislam yaani hana dini niseme. Anatafuta boyfriend, Ila uwe una degree at least moja, unajua kupika japo hata chai, uwe tayari kuvumilia hadi mfunge ndoa. Kama uko interested ni PM.
 
Mimi nina dada wa rafiki yangu tumezoeana kiasi kwa hiyo huwa ananiambia kuwa anataka boyfriend, ana miaka 22, ila hajaguswa kabisaaa!! Saizi anasoma degree ya kwanza kwenye mambo ya pesa katika chuo fulani, yeye siyo mkristo wala siyo mwislam yaani hana dini niseme. Anatafuta boyfriend, Ila uwe una degree at least moja, unajua kupika japo hata chai, uwe tayari kuvumilia hadi mfunge ndoa. Kama uko interested ni PM.

HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HAHA
Hii kali
 
nina my girlfriend wangu naweza nikakuunganishia kama uko interested ni PM,Je? Wewe unavuta/unakunywa,kama vp weka profile lako sawa
 
Ningekupigia ila simu haina salio jamani. Dah! Nishakosa mchumba hvi hvi.
 
Nenda kanisani mbona utawapata wengi tu

sawa mkuu,lakini nina amini hata kupitia jamiiforums ninaweza mpata huyo mwandani wangu.maana najua wanaume na wanawake wa hapa vichwa vyao vimetulia kama maji ya mtungi.uwongo???
 
Kweli huu ni mfumo wewe 25 lakini wa miaka 18 ili umtawale eeeh.
hata kama ana umri mdogo,akiwa ameelimika huwezi kumtawala,hata hivyo sina la kumtawala kipenzi cha roho yangu.nitamheshimu.
 
Mimi nina dada wa rafiki yangu tumezoeana kiasi kwa hiyo huwa ananiambia kuwa anataka boyfriend, ana miaka 22, ila hajaguswa kabisaaa!! Saizi anasoma degree ya kwanza kwenye mambo ya pesa katika chuo fulani, yeye siyo mkristo wala siyo mwislam yaani hana dini niseme. Anatafuta boyfriend, Ila uwe una degree at least moja, unajua kupika japo hata chai, uwe tayari kuvumilia hadi mfunge ndoa. Kama uko interested ni PM.
nashukuru mkuu,nita ku PM.
 
Mimi nina dada wa rafiki yangu tumezoeana kiasi kwa hiyo huwa ananiambia kuwa anataka boyfriend, ana miaka 22, ila hajaguswa kabisaaa!! Saizi anasoma degree ya kwanza kwenye mambo ya pesa katika chuo fulani, yeye siyo mkristo wala siyo mwislam yaani hana dini niseme. Anatafuta boyfriend, Ila uwe una degree at least moja, unajua kupika japo hata chai, uwe tayari kuvumilia hadi mfunge ndoa. Kama uko interested ni PM.

Mkuu nahisi ulishamtest ukaona hajakuzwa bado.
 
Upo serious kiac, hadi namba. Ila isijekuwa network inakamata samunge kwa babu tuu.
 
Back
Top Bottom