Ninahitaji girlfriend (awe tayari kupima HIV 0784225338

Ninahitaji girlfriend (awe tayari kupima HIV 0784225338

Mkulima wa kawaida

Senior Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
167
Reaction score
37
Girls, ninahitaji girlfriend ambaye atakuwa mchumba tukikubaliana. Sichagui kabila umri usizidi 26yrs. Umri wangu 27yrs, nimemaliza SUA 2011.
 
Dalili ya kwanza ya madomo zege ni kutafuta kyupi mtandaoni
Mtakuja kumbana na majini yawaue na kuwatoa makorodani gest shauri zenu
 
we sio buree utakua umesoma agriculture general
 
Dalili ya kwanza ya madomo zege ni kutafuta kyupi mtandaoni
Mtakuja kumbana na majini yawaue na kuwatoa makorodani gest shauri zenu
bora ulikuwepo mkuu me nawaaambia hawa, mtu atanigwa scrotum zitengenezewe ngoma
 
Girls, ninahitaji girlfriend ambaye atakuwa mchumba tukikubaliana. Sichagui kabila umri usizidi 26yrs. Umri wangu 27yrs, nimemaliza SUA 2011.

sasa wee ulishindwa kamatia bidada hapo mji kasoro bahari na wakati sua nyachupi zimejaa bwena....
 
HUMU MMU NAONA WOTE WAKO ENGAGE NGOJA TUONE KUBWA LAO LARA1 ATAKUCHAGULIA YUPI:majani7:
 
unayetafuta mchumba we ni he au she?
 
Girls, ninahitaji girlfriend ambaye atakuwa mchumba tukikubaliana. Sichagui kabila umri usizidi 26yrs. Umri wangu 27yrs, nimemaliza SUA 2011.

kumaliza sua 2011 nacho ni kigezo????
Bwana mifugo bwana
 
Mi hapa. Ni PM tubonge zaidi!!! Khaa niwe tayari ku-compete hapa jamvini eti!! Nahisi kuwa kila siku atakuwa anapanga interview na wale watakaojitosa!! Dah kazi ipo!! Kote huko umesoma umekosa mkuu hadi unakuha hapa kwenye forum la heshima?
 
we sio buree utakua umesoma agriculture general
Hahaaaaa... Utajuta ukikutana na vijana waliosoma Political Science And Public Administration, wanapepeta mdomo haoooo...... Dem hachomoki!
 
love connect bana...kwann watu mnampa mtu kashfa kiasi hiki??? si lazima kuchangia kila sred...kwani kutafuta mpenzi mtandaoni tatizo lake nn??
 
love connect bana...kwann watu mnampa mtu kashfa kiasi hiki??? si lazima kuchangia kila sred...kwani kutafuta mpenzi mtandaoni tatizo lake nn??

Ni dalili ya madomo zege hizo mkuu
 
sawa kwani madomo zege hawana haki ya kupata wenzi??? tuacheni unyanyapaa...kwann basi hili jukwaa likawepo?? ni kwaajili ya watu kama hao...let them try their luck...
Ni dalili ya madomo zege hizo mkuu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
sawa kwani madomo zege hawana haki ya kupata wenzi??? tuacheni unyanyapaa...kwann basi hili jukwaa likawepo?? ni kwaajili ya watu kama hao...let them try their luck...
ila ukweli dadangu ulichoongea, let then roll the dice too, SUA so mchezo jamaa alikuwa busy na course work akasahau bed work...go hard Mkulima wa kawaida
 
Last edited by a moderator:
Ahsante sana Ciello...inaudhi kusema kweli kumuona mtu anakuja hapa na lengo lake halafu watu wanaanza kumkejeli. Kuna haja ya kuanzisha taratibu za kuwapa ban wale ambao wanatoa kejeli katika threads kama hizi na nyinginezo.

love connect bana...kwann watu mnampa mtu kashfa kiasi hiki??? si lazima kuchangia kila sred...kwani kutafuta mpenzi mtandaoni tatizo lake nn??
 
Last edited by a moderator:
sawa kwani madomo zege hawana haki ya kupata wenzi??? Tuacheni unyanyapaa...kwann basi hili jukwaa likawepo?? Ni kwaajili ya watu kama hao...let them try their luck...

hili jukwaa si kwa ajili ya kuzungumzia ushenzi, we una ujasiri wa kupima hiv mtu mwenyewe unajiuza mtandaoni...peleka ushenzi kule-nyambafu
 
Back
Top Bottom