Mkulima wa kawaida
Senior Member
- Dec 22, 2012
- 167
- 37
Girls, ninahitaji girlfriend ambaye atakuwa mchumba tukikubaliana. Sichagui kabila umri usizidi 26yrs. Umri wangu 27yrs, nimemaliza SUA 2011.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora ulikuwepo mkuu me nawaaambia hawa, mtu atanigwa scrotum zitengenezewe ngomaDalili ya kwanza ya madomo zege ni kutafuta kyupi mtandaoni
Mtakuja kumbana na majini yawaue na kuwatoa makorodani gest shauri zenu
Girls, ninahitaji girlfriend ambaye atakuwa mchumba tukikubaliana. Sichagui kabila umri usizidi 26yrs. Umri wangu 27yrs, nimemaliza SUA 2011.
Girls, ninahitaji girlfriend ambaye atakuwa mchumba tukikubaliana. Sichagui kabila umri usizidi 26yrs. Umri wangu 27yrs, nimemaliza SUA 2011.
duh eti bwana mifugo, mi nilidhani ni bwana shambakumaliza sua 2011 nacho ni kigezo????
Bwana mifugo bwana
Hahaaaaa... Utajuta ukikutana na vijana waliosoma Political Science And Public Administration, wanapepeta mdomo haoooo...... Dem hachomoki!we sio buree utakua umesoma agriculture general
love connect bana...kwann watu mnampa mtu kashfa kiasi hiki??? si lazima kuchangia kila sred...kwani kutafuta mpenzi mtandaoni tatizo lake nn??
kumaliza sua 2011 nacho ni kigezo????
Bwana mifugo bwana
Ni dalili ya madomo zege hizo mkuu
ila ukweli dadangu ulichoongea, let then roll the dice too, SUA so mchezo jamaa alikuwa busy na course work akasahau bed work...go hard Mkulima wa kawaidasawa kwani madomo zege hawana haki ya kupata wenzi??? tuacheni unyanyapaa...kwann basi hili jukwaa likawepo?? ni kwaajili ya watu kama hao...let them try their luck...
love connect bana...kwann watu mnampa mtu kashfa kiasi hiki??? si lazima kuchangia kila sred...kwani kutafuta mpenzi mtandaoni tatizo lake nn??
sawa kwani madomo zege hawana haki ya kupata wenzi??? Tuacheni unyanyapaa...kwann basi hili jukwaa likawepo?? Ni kwaajili ya watu kama hao...let them try their luck...