Ninahitaji Landrover 110 - 300 Series

Ninahitaji Landrover 110 - 300 Series

Mawio

Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
54
Reaction score
23
Wakuu, salaam!!!..

Ninahitaji Landrover 110 - 300 Series, iwe station wagon, van, pickup n.k ili mradi iwe katika hali nzuri.

Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790

Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni tatu kamili (3,000,000/=) Pesa za Ki-Tanzania.

Kama una bodi pekee pia tunaweza angalia uwezekano wa mazungumzo.

Shukrani.
 
109 roho ya paka inaweza patikana kwa kiasi gani?? Sisi wenye paso daladala zinatuchuna sana kwa kuchomekewa
 
109 roho ya paka inaweza patikana kwa kiasi gani?? Sisi wenye paso daladala zinatuchuna sana kukuchomekewa

Mkuu Doup!!!..

Ngoja tuwasubiri wadau wenye 109 wata-show up na majibu Mkuu..

🙂🙂!!!..
 
Back
Top Bottom