mshangazi??,siEvelyn Salt mshangazi kuna kuku wa kienyeji hukuππ
Kwa hiyo hana uzoefu/kapirianse/experience?π€£π€£π€£πNingekucheck pm sema Sitaki mwanaume ambae hajawahi kufanya..!
njoo
Mimi nataka mwenye uzoefu usiopungua miaka 6
Mambo ya usumbufu tuu hayo..sasa nani atamwelekeza mwenzie...Ningekucheck pm sema Sitaki mwanaume ambae hajawahi kufanya..!
Hawa wanaanzisha uzi kutuchora, tunaenda nao sambambaπMambo ya usumbufu tuu hayo..sasa nani atamwelekeza mwenzie...
πππππππππEwwwwwwwMimi nataka mwenye uzoefu usiopungua miaka 6
π
JOB VACANCY.ok mana ata yeye ni mzoef
Miaka 26 unataka mke mtandaoni? Kwanini usitafute mtaani unaowaona kila siku? Kama umeshindwa waambie wazazi wako wakutafutie ukishindwa sana basi shekhe/mchungaji wako akutafutie.sijawahi mimi
ok ngoja niende kijijinMiaka 26 unataka mke mtandaoni? Kwanini usitafute mtaani unaowaona kila siku? Kama umeshindwa waambie wazazi wako wakutafutie ukishindwa sana basi shekhe/mchungaji wako akutafutie.
Wewe kaa hapa tuchit chat naona ndicho unachokitaka
Unazingua unamaanisha ambae hajawahi kufanya nini?Ningekucheck pm sema Sitaki mwanaume ambae hajawahi kufanya..!