Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 993
Habari Wakuu,
Ninahitaji kampuni au mtu anayeweza kunikopesha mashine hii hapa kwenye picha, nahitaji chombo chenyewe kama kilivyo na siyo pesa lakini sina dhamana. Nitalirejesha deni hili (katika fedha) baada ya miezi 6 na nipo tayari kulipia riba ikiwa itakuwepo

Aliyetayari kunisaidia nitashukuru, nipo dar kwa sasa ila nikiipata tu naelekea mbeya.
Shukrani
Ninahitaji kampuni au mtu anayeweza kunikopesha mashine hii hapa kwenye picha, nahitaji chombo chenyewe kama kilivyo na siyo pesa lakini sina dhamana. Nitalirejesha deni hili (katika fedha) baada ya miezi 6 na nipo tayari kulipia riba ikiwa itakuwepo

Aliyetayari kunisaidia nitashukuru, nipo dar kwa sasa ila nikiipata tu naelekea mbeya.
Shukrani