Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Naam ninatafuta.Heeeee kumbe na wew unatafuta mpenzi huku
Makubwa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ikiwa utavutiwa na vigezo karibu sana mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam ninatafuta.Heeeee kumbe na wew unatafuta mpenzi huku
Makubwa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nakusubiri hadi leo hujafikaNgoja nije pm tuyajenge
Bila shaka ulibahatika😅😅Ngoja nije pm tuyajenge
Shida sina vigezo ningezama piemu mkuuNaam ninatafuta.
Ikiwa utavutiwa na vigezo karibu sana mrembo
Wanapima mkojoVikoje mkuu
Naona unatoa sifa za mleta thread hii, ambazo binafsi sijaziona kwenye uzi wake. Au mmeambiana PM?mswati52, OK na kwahiyo mpenzi wako akirudi huyo mrembo uliyempata utamuacha ama ? Au ndo atakua mke Mdogo?
Bila shaka alishazama pm😆Naona unatoa sifa za mleta thread hii, ambazo binafsi sijaziona kwenye uzi wake. Au mmeambiana PM?
Ukikosa hiyo moja si ndio huna vigezo vyake?Me ninazo zote kasoro hiyo ya 3
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ana hela huyo nae lakin sio kutusumbua tuUkikosa hiyo moja si ndio huna vigezo vyake?
Alisha sema ata kutunza kwa kila kitu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ana hela huyo nae lakin sio kutusumbua tu
Siku hizi mnanunulika hahaha. Nenda ujaribu bahati yako mkuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ana hela huyo nae lakin sio kutusumbua tu
Dada zetu wameharibika sana hakuna cha upendo bali mwendo wa kuuza kijanja hahaAlisha sema ata kutunza kwa kila kitu.
Sasa atakutunza bila hela?
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Siku hizi macho Yao Yako kwenye pesa.[emoji16]Dada zetu wameharibika sana hakuna cha upendo bali mwendo wa kuuza kijanja haha
Mpaka kujà kutafuta mwenza huko yaamaanisha mtaani kwake taarifa zake wanazo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] me nani wa kujitosa kwake akuuu ngoja niendelee kubanana na wazee wangu hapa home[emoji4][emoji4]Siku hizi mnanunulika hahaha. Nenda ujaribu bahati yako mkuu.
Hutaliwa bure[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amesema mwenye upeo mkubwa wa maisha [emoji1787][emoji1787]sijui kama na yeye anaoAlisha sema ata kutunza kwa kila kitu.
Sasa atakutunza bila hela?
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Unaweza tunzwa tu kama nguo kabatini[emoji23][emoji23] husogezwi wala huamishwiAlisha sema ata kutunza kwa kila kitu.
Sasa atakutunza bila hela?
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Woga wako tu mume popote au mke popote.Mpaka kujà kutafuta mwenza huko yaamaanisha mtaani kwake taarifa zake wanazo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] me nani wa kujitosa kwake akuuu ngoja niendelee kubanana na wazee wangu hapa home[emoji4][emoji4]
Ngoja nimsikilize roho mtakatifu anasemaje juu ya hilo[emoji23]Woga wako tu mume popote au mke popote.
Huwezi jua kuna watu kazi zao hawaingiliani sana na jamii
Acha masighara banaNakusubiri hadi leo hujafika