Unajua nilipoliona tangazo lako nikamtimua bi mkubwa nikadhani nimeokota dodo chini ya muarobaini. Kujaribu kuingia PM jasho likanitoka! Sasa sijui nifanyeje na Binkubwa kasepa. Jua wengine tunawaamini lakini inaonesha mnatuchoraUnanisingizia.
Na ndio hapo nimejua hii ID ni backup
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli manake hiyo 2012 hata naniliu ilikuwa bado ninayo [emoji23][emoji23][emoji23]
Umewahi kusikia msemo wa wahenga "usitupe chungu cha zamani........"Unajua nilipoliona tangazo lako nikamtimua bi mkubwa nikadhani nimeokota dodo chini ya muarobaini. Kujaribu kuingia PM jasho likanitoka! Sasa sijui nifanyeje na Binkubwa kasepa. Jua wengine tunawaamini lakini inaonesha mnatuchora
Dhambi zako hizo! Au nikupe namba yake ya simu umbembeleze la sivyo asiporudi nakuroga.Umewahi kusikia msemo wa wahenga "usitupe chungu cha zamani........"
Hebu kimbia kambembeleze, au kama vipi unga kwa huyu mdau.
you are warmly welcomed.
Dhambi zako hizo! Au nikupe namba yake ya simu umbembeleze la sivyo asiporudi nakuroga.
Kutangaza kuwa unatuhitaji wakati si kweli na PM kuiweka kofuriSasa mimi kosa langu nini?
Wee shaka... ngoja nikupunguzie umri wangu upate jikoUmri Umenikosesha Jiko
Mi sina hela vp upo tayari nikuoe?Habari Wana Jf,
Nikiwa na ufahamu kamili na akili timamu ninajitokeza kuweka wazi nia yangu ya kuhitaji mume.Kwa upande wangu Mimi;
- Mkristo
-Miaka 31
-nina mtoto mmoja
-Degree moja
-muwazi na muelewa
Ninayemuhutaji
-awe Mkristo
-mwenye nia ya dhati ya kujenga familia
-Awe muwazi
-umri kuanzia 35-45
Aliye tayari akaribie PM.kwa lugha ya malkia wanasema you are warmly welcomed.
( Funguka) ni kipindi EATV π€£π€£π€£π€£ππππ kwa kweli manake hiyo 2012 hata naniliu ilikuwa bado ninayo πππ
Nipo Dogo hv ushapata Mume? Maana Kaka nakuja kupanga mahari very soonWe mtu upo!!!!
Akikujibu nitagKwanini hamtafuti waume wa kuwaoa mnapokuwa na umri kati ya 18 na 21?
( Funguka) ni kipindi EATV π€£π€£π€£π€£
Duuuh mkuu juzi nipewa tuzo ya ukubwa bhanaππππ we bado mdogo,kuwa mkubwa kidogo nitafunguka
Nishakula na mahari yenyewe, hapa natafuta mahari nyingine.Nipo Dogo hv ushapata Mume? Maana Kaka nakuja kupanga mahari very soon
Basi nitakwambia badae kidogoDuuuh mkuu juzi nipewa tuzo ya ukubwa bhana
AhsanteeeBasi nitakwambia badae kidogo