Ninahitaji Mume

Ninahitaji Mume

Unanisingizia.
Unajua nilipoliona tangazo lako nikamtimua bi mkubwa nikadhani nimeokota dodo chini ya muarobaini. Kujaribu kuingia PM jasho likanitoka! Sasa sijui nifanyeje na Binkubwa kasepa. Jua wengine tunawaamini lakini inaonesha mnatuchora
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli manake hiyo 2012 hata naniliu ilikuwa bado ninayo [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajua nilipoliona tangazo lako nikamtimua bi mkubwa nikadhani nimeokota dodo chini ya muarobaini. Kujaribu kuingia PM jasho likanitoka! Sasa sijui nifanyeje na Binkubwa kasepa. Jua wengine tunawaamini lakini inaonesha mnatuchora
Umewahi kusikia msemo wa wahenga "usitupe chungu cha zamani........"

Hebu kimbia kambembeleze, au kama vipi unga kwa huyu mdau.
 
Umewahi kusikia msemo wa wahenga "usitupe chungu cha zamani........"

Hebu kimbia kambembeleze, au kama vipi unga kwa huyu mdau.
Dhambi zako hizo! Au nikupe namba yake ya simu umbembeleze la sivyo asiporudi nakuroga.
 
Habari Wana Jf,
Nikiwa na ufahamu kamili na akili timamu ninajitokeza kuweka wazi nia yangu ya kuhitaji mume.Kwa upande wangu Mimi;

- Mkristo
-Miaka 31
-nina mtoto mmoja
-Degree moja
-muwazi na muelewa

Ninayemuhutaji
-awe Mkristo
-mwenye nia ya dhati ya kujenga familia
-Awe muwazi
-umri kuanzia 35-45

Aliye tayari akaribie PM.kwa lugha ya malkia wanasema you are warmly welcomed.
Mi sina hela vp upo tayari nikuoe?
 
Back
Top Bottom