Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Kwa hiyo mkuu nikikaa huko Mbezi Msumi nitakuwa natoka saa ngapi na kurudi saa ngapi ili nisikwame barabarani?Msumi mbezi Gari moja....then mwendo kasi etc....Mara. nyingi alfajiri kuna Gari za moja kwa moja Msumi to down town etc etc