Ninahitaji rafiki wa kiume mwenye asili ya mkoa wa Mtwara, na Lindi

Ninahitaji rafiki wa kiume mwenye asili ya mkoa wa Mtwara, na Lindi

angelmimi

Member
Joined
Sep 8, 2024
Posts
5
Reaction score
20
Mimi ni Mmakonde wa Mtwara naishi Dar-es -salaam
Nina miaka 33
Dini: I am Christian
Elimu Diploma Administration
Sijaajiriwa.
Sina kipato bado najitafuta Marioo musijisumbue
SINA mtoto
Nahitaji Kupata rafiki ambae tukienda sawa awe mchumba hatimae mume.
Awe seriously, mchamungu, sio mlevi, sio mvutaji.
umri 32-45
Elimu akinizidi itapendeza.
Awe anatokea mikoa ya kusini hata km haishi kule .
Ambae Anatamani Kupata mke siku za mbeleni
SIBAGUI DINI
Nia yangu ni ya dhati
 
Mimi ni Mmakonde wa Mtwara naishi Dar-es -salaam
Nina miaka 33
Dini : am Christian
Elimu Diploma Administration
Sijaajiriwa.
Sina kipato bado najitafuta Marioo musijisumbue
SINA mtoto
Nahitaji Kupata rafiki ambae tukienda sawa awe mchumba hatimae mume .
Awe seriously ,mchamungu, sio mlevi, sio mvutaji .
umri 32-45
Elimu akinizidi itapendeza.
Awe anatokea mikoa ya kusini hata km haishi kule .
Ambae Anatamani Kupata mke siku za mbeleni
SIBAGUI DINI
Nia yangu ni ya dhati
Na mie najisaka, vipi nije
 
Mimi ni Mmakonde wa Mtwara naishi Dar-es -salaam
Nina miaka 33
Dini : am Christian
Elimu Diploma Administration
Sijaajiriwa.
Sina kipato bado najitafuta Marioo musijisumbue
SINA mtoto
Nahitaji Kupata rafiki ambae tukienda sawa awe mchumba hatimae mume .
Awe seriously ,mchamungu, sio mlevi, sio mvutaji .
umri 32-45
Elimu akinizidi itapendeza.
Awe anatokea mikoa ya kusini hata km haishi kule .
Ambae Anatamani Kupata mke siku za mbeleni
SIBAGUI DINI
Nia yangu ni ya dhati
Naomba uje tu PM maana mpaka hapo tayari unanisema Mimi ,japokuwa Lindi na mtwara nimekaa kiasi chale ila Sina asili ya kule ila ukweli ni kuwa nawajua na ninaishi kama watu wa huko .

Kilichonifanya kusema njoo tu PM ,ni vile kitendo Cha kufungua uzi wako moyo umelia paaaah ,ukimaanisha Sasa ndugu yako ni huyu .
Usijisumbue mume umepata na Mimi ndiye kuhusu kipato usijali nimeajiriwa japo nilikopa hela nyingi kufanya Mambo Fulani hivyo naishi chini ya dola ila Jana nimezungumza na benki Fulani wanasema wanaweza kunipa mlungula mwingine.

Kuhusu gari kuwa na amai ,Corolla ipo imetulia inakusubiri wewe mrembo uwe mama mjengo ,kuhusu nyumba ninayo moja ya matope hapa kijijini ila huko mjini Dar ipo ya urithi nadunda nayo maana ni nzuri hata picha zangu nyingi nimepigia humo kwenye jumba la dingi .

Uhakika wa future yako .
Natoka katika royal family ya zamani hivyo uhakika wa watoto wetu kuteuliwa hapo mbeleni ni jambo lisilohitaji maongezi mengi ,ila hata ukiumwa gonjwa gani kwenda nje utaenda tu hata kwa pension za baba .hivyo relax mme ndiyo Mimi .

Karibu PM mke wangu
 
MIMI MZARAMO LAKINI NINA MTARIMBO ZAIDI YA YULE WA MTWARA NA NGUVU NAPGA V3 VYAKUUNGA NDO NAPUMZKA KDOGO KAMA DAKIKA 5 HALAF NAENDELEA NA CHA4 NA CHA 5
Nyie ndiyo mnafanya watu walidharau kabila letu tukuka na lenye heshima kubwa nchini .
Stop it Mara moja homeboy ,sisi hatutakiwi kujisifia habari za kitandani sisi tujisifie habari ya utafutaji na historia tukuka tuliyoibeba juu ya nchi hii .
Sawa ?
 
Back
Top Bottom