Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamanisha hao walikua ni baadhi ya watu aliowashindwa yaan wamemkung'uta kisha wakamuachia mavumbiAisee unaposema asiwe mvutaji ni mvutaji wa sigara au hata bangi ?
Bado sifa moja hapo hujaitajaMimi ni Mmakonde wa Mtwara naishi Dar-es -salaam
Nina miaka 33
Dini: am Christian
Elimu Diploma Administration
Sijaajiriwa.
Sina kipato bado najitafuta Marioo musijisumbue
SINA mtoto
Nahitaji Kupata rafiki ambae tukienda sawa awe mchumba hatimae mume.
Awe seriously ,mchamungu, sio mlevi, sio mvutaji.
umri 32-45
Elimu akinizidi itapendeza.
Awe anatokea mikoa ya kusini hata km haishi kule .
Ambae Anatamani Kupata mke siku za mbeleni
SIBAGUI DINI
Nia yangu ni ya dhati
Nipo hapa karibu pmMimi ni Mmakonde wa Mtwara naishi Dar-es -salaam
Nina miaka 33
Dini: am Christian
Elimu Diploma Administration
Sijaajiriwa.
Sina kipato bado najitafuta Marioo musijisumbue
SINA mtoto
Nahitaji Kupata rafiki ambae tukienda sawa awe mchumba hatimae mume.
Awe seriously ,mchamungu, sio mlevi, sio mvutaji.
umri 32-45
Elimu akinizidi itapendeza.
Awe anatokea mikoa ya kusini hata km haishi kule .
Ambae Anatamani Kupata mke siku za mbeleni
SIBAGUI DINI
Nia yangu ni ya dhati
Nakusubiri pmNipo hapa karibu pm
HiMimi ni Mmakonde wa Mtwara naishi Dar-es -salaam
Nina miaka 33
Dini: am Christian
Elimu Diploma Administration
Sijaajiriwa.
Sina kipato bado najitafuta Marioo musijisumbue
SINA mtoto
Nahitaji Kupata rafiki ambae tukienda sawa awe mchumba hatimae mume.
Awe seriously ,mchamungu, sio mlevi, sio mvutaji.
umri 32-45
Elimu akinizidi itapendeza.
Awe anatokea mikoa ya kusini hata km haishi kule .
Ambae Anatamani Kupata mke siku za mbeleni
SIBAGUI DINI
Nia yangu ni ya dhati
Sio mlevi sio mvutaji...so starehe yake itakuwa kugegedaMimi ni Mmakonde wa Mtwara naishi Dar-es -salaam
Nina miaka 33
Dini: am Christian
Elimu Diploma Administration
Sijaajiriwa.
Sina kipato bado najitafuta Marioo musijisumbue
SINA mtoto
Nahitaji Kupata rafiki ambae tukienda sawa awe mchumba hatimae mume.
Awe seriously ,mchamungu, sio mlevi, sio mvutaji.
umri 32-45
Elimu akinizidi itapendeza.
Awe anatokea mikoa ya kusini hata km haishi kule .
Ambae Anatamani Kupata mke siku za mbeleni
SIBAGUI DINI
Nia yangu ni ya dhati
[emoji23]Una shanga?
Miaka 33 hujapata mtoto?hapo unapanda nafaka ktk jiweMimi ni Mmakonde wa Mtwara naishi Dar-es -salaam
Nina miaka 33
Dini: am Christian
Elimu Diploma Administration
Sijaajiriwa.
Sina kipato bado najitafuta Marioo musijisumbue
SINA mtoto
Nahitaji Kupata rafiki ambae tukienda sawa awe mchumba hatimae mume.
Awe seriously ,mchamungu, sio mlevi, sio mvutaji.
umri 32-45
Elimu akinizidi itapendeza.
Awe anatokea mikoa ya kusini hata km haishi kule .
Ambae Anatamani Kupata mke siku za mbeleni
SIBAGUI DINI
Nia yangu ni ya dhati
Nimegundua jf ni kumezidi tu kuniongezea stress ya kuonekana nimechelewa , nimejuta .Miaka 33 hujapata mtoto?hapo unapanda nafaka ktk jiwe