Ninahitaji rafiki wa kiume mwenye asili ya mkoa wa Mtwara, na Lindi

Wanaume wa dar musiende tena PM mimi wa Mtiniko hapa nimeshampata mmakonde mwenzangu.
 
Bado sifa moja hapo hujaitaja
 
Nipo hapa karibu pm
 
Dar pagumu nyie ndio maana nimekuja at least nikutane basi na hata wa nyumbani labda atanihurumia, inshort I need true love sio utani .
 
Hi
 
Sio mlevi sio mvutaji...so starehe yake itakuwa kugegeda
 
Miaka 33 hujapata mtoto?hapo unapanda nafaka ktk jiwe
 
Nimegundua jf ni kumezidi tu kuniongezea stress ya kuonekana nimechelewa , nimejuta .
Naomba nifunge huu ukurasa.sitaki tena wakusini Wala wa magharibi .
 
Miaka 33 hujapata mtoto?hapo unapanda nafaka ktk jiwe
Nimegundua jf ni kumezidi tu kuniongezea stress ya kuonekana nimechelewa , nimejuta .
Naomba nifunge huu ukurasa.sitaki tena wakusini Wala wa magharibi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…