Ninaipenda style ya spooning lakini simalizi dakika 5, nifanyeje ili nidumu?

Embu Wanaume tuwe wakwelii tusipotoshane
Bao la kwanza kwa kutumia nguvu zako mwenyewe sio kuboost kwa aina yeyote ilee ukitumia nguvu zako za kawaidaa kabisa huwaa lina chukua muda ganii ?????
 
Natamani kukwambia uweke na picha mjongeo.
Sema wadau watasema napenda ngono
 
Sasa hiyo dkk 5 tayari ushamwaga waarabu, je style ya msomali kafia kwenye fiati? Si utaloweka tyuuh na kuachia waafrika huku kibofu chako cha mkojo kikijiacha? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahahahahaa.... Uyumuka mlongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…