Ninaipenda Taifa Stars Ila Nasikitika Kusema kuwa Inaendwa kufungwa na DR Congo pale pale Kwa Mkapa

Ninaipenda Taifa Stars Ila Nasikitika Kusema kuwa Inaendwa kufungwa na DR Congo pale pale Kwa Mkapa

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Taifa Stars ine tabia chafu fulani hivi kama mmewahi kuichunguza kwa undani.

Kwa mfano inaweza kukupa matumaini mazuri kuwa wako fit na wako poa lakini inangoja kipindi kizuri ambacho kila mtanzania anaiaminia. Hiko ndiko kipindi ambacho Taifa Stars inaenda kuvunja mioyo yetu.

Mimi nishaijulia..

Huwaga naiunga mkono katika kipindi ambacho kila mtanzania hana matumaini nayo...Halafu ninaipotezea kiaina kipindi ambacho iko kwenye form nzuri. Maana hiko ndio kipindi ambacho timu inaiandaa na kuiset mioyo yetu ili ikaifunje vizuri.

Kama vile uko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mzuri kwa kipindi kirefu. Inafika hatua mapenzi yana shika hatamu kiasi kwamba akili yako inaamini kuwa huyo demu hawezi kuja kukucheat hata siku moja. Ndio wakati huo unaletewa video na mwana wakaribu ikionyesha demu huyo huyo anapumuliwa na muuza kahawa wa mtaa wa pili.

Sasa siku na wakati umefika. Msije sema sijawaambia. Taifa Stars anaenda kufa pale pale kwa Mkapa dhidi ya DR Congo.
 
Nina heshimu mtazamo wako mwana jukwaa...

Ila mtazamo wangi ungali pale pale...

Siyataki Maumivu.
Ukiwa na mawazo negative kwenye vita unabakia nayo, namaanisha huyatangazi kwani kuyatangaza maana yake unataka kuungwa mkono; na ndio sababu nikakushauri kuwa at this stage hukuwa na haja kabisa ya kupost kitu negative kuhusu timu ya taifa!
 
Ukiwa na mawazo negative kwenye vita unabakia nayo, namaanisha huyatangazi kwani kuyatangaza maana yake unataka kuungwa mkono; na ndio sababu nikakushauri kuwa at this stage hukuwa na haja kabisa ya kupost kitu negative kuhusu timu ya taifa!
Nimejifunza kutofautisha kati ya Uhalisia na Njozi.
 
Kitendo Cha wanasiasa na viongoz wa serikal kujitokeza wakat Kama huu sijapenda kabisa

Wakat tunaanza mashindano walikuwa kimya ila Sasa kila mtu anajifanya n mshauri mhamsishaji na hapo ndpo timu inapofeli

Kama tunataka kuiunga timu yetu mkono tuanze mwanzoni kwa pamoja

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kitendo Cha wanasiasa na viongoz wa serikal kujitokeza wakat Kama huu sijapenda kabisa...
Yaani hao ndio wanafiki namba moja...

Wanajifanya wanaipenda Taifa Star eti kwasababu imesalia na mechi mbili kuingia mchujo wa mwisho.

Sasa ngoja uone kama utawaona pale Stars itakapo poteza dhidi ya Kongo.
 
Ukiwa na mawazo negative kwenye vita unabakia nayo, namaanisha huyatangazi kwani kuyatangaza maana yake unataka kuungwa mkono; na ndio sababu nikakushauri kuwa at this stage hukuwa na haja kabisa ya kupost kitu negative kuhusu timu ya taifa!
Ila ukweli kumbe mnaufahamu!!bali ni propaganda tu za ki vita!!hata leo hii tuanzishe vita na USA, lazima tutiane moyo kuwa hawatoki, lakini ukweli tunaujua!!!ila ki uhalisia kwa hatua hii hatuwezi kumfunga DRC huo ndio ukweli.
 
Ila ukweli kumbe mnaufahamu!!bali ni propaganda tu za ki vita!!hata leo hii tuanzishe vita na USA, lazima tutiane moyo kuwa hawatoki, lakini ukweli tunaujua!!!ila ki uhalisia kwa hatua hii hatuwezi kumfunga DRC huo ndio ukweli.
Yale majamaa yameikamia kishenzi hii game..

Halafu wacjezaji wetu wameshinda wanakula vyuku na Sayona.

Sioni namna tunatoboa.
 
Yaani hao ndio wanafiki namba moja...

Wanajifanya wanaipenda Taifa Star eti kwasababu imesalia na mechi mbili kuingia mchujo wa mwisho.

Sasa ngoja uone kama utawaona pale Stars itakapo poteza dhidi ya Kongo.
Wazee wa hamasa!!utawasikia hata hivyo tumekufa kiume!!hakuna timu pale, ni bahati bahati tu!!
 
Nimesikia leo captain anasema watanzania tuwaombee na tujitokeze kwa wingi kuwashingilia.

Kama maombi yangekua yanacheza au kuleta matoeko timu zisingejiandaa kwa mazoezi. Nafikiri ata taifa stars tungekua na kombe za dunia nyingi.

Kama mashabiki wangekua wanacheza au kuleta matokeo hakuna home team ingekua inafungwa duniani.
 
Acha unafki wewe hivi unadhani taifa stars wameongoza group kimasihara? unaangalia ata mechi wewe kweli? maana sometimes unakuja na thread za ajabu!
 
Taifa Stars ine tabia chafu fulani hivi kama mmewahi kuichunguza kwa undani.

Yaani ina tabia fulani hivi kama ya Mwanamke Malaya.

Kwa mfano inaweza kukupa matumaini mazuri kuwa wako fit na wako poa...lakini inangoja kipindi kizuri ambacho kila mtanzania anaiaminia. Hiko ndiko kipindi ambacho Taifa Stars inaenda kuvunja mioyo yetu..

Mimi nishaijulia..

Huwaga naiunga mkono katika kipindi ambacho kila mtanzania hana matumaini nayo...Halafu ninaipotezea kiaina kipindi ambacho iko kwenye form nzuri. Maana hiko ndio kipindi ambacho timu inaiandaa na kuiset mioyo yetu ili ikaifunje vizuri.

Kama vile uko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mzuri kwa kipindi kirefu. Inafika hatua mapenzi yana shika hatamu kiasi kwamba akili yako inaamini kuwa huyo demu hawezi kuja kukucheat hata siku moja. Ndio wakati huo unaletewa video na mwana wakaribu ikionyesha demu huyo huyo anapumuliwa na muuza kahawa wa mtaa wa pili.

Sasa siku na wakati umefika. Msije sema sijawaambia. Taifa Stars anaenda kufa pale pale kwa Mkapa dhidi ya DR Congo.
Mkuu Taifa Stars ikishinda utaweka wapi uso wako?
 
Yaani hao ndio wanafiki namba moja...

Wanajifanya wanaipenda Taifa Star eti kwasababu imesalia na mechi mbili kuingia mchujo wa mwisho.

Sasa ngoja uone kama utawaona pale Stars itakapo poteza dhidi ya Kongo.
Hivi tukipita hapa tunaenda kucheza mchujo tena? Du basi hatutoboi
 
Kiukweli sipendi tabia ya wanasiasa kuingilia hamasa za timu ya Taifa na hii ndio dhambi inayofanyika ktk soka letu
 
Hivi tukipita hapa tunaenda kucheza mchujo tena? Du basi hatutoboi
Tunaweza kweli tukapita hapa ila kule kwenye playoff Tunaenda kukutana na clear cream ya African giants na hapo ndio wabongo mtajua hamjui
 
Taifa Stars ine tabia chafu fulani hivi kama mmewahi kuichunguza kwa undani.

Yaani ina tabia fulani hivi kama ya Mwanamke Malaya.

Kwa mfano inaweza kukupa matumaini mazuri kuwa wako fit na wako poa...lakini inangoja kipindi kizuri ambacho kila mtanzania anaiaminia. Hiko ndiko kipindi ambacho Taifa Stars inaenda kuvunja mioyo yetu..

Mimi nishaijulia..

Huwaga naiunga mkono katika kipindi ambacho kila mtanzania hana matumaini nayo...Halafu ninaipotezea kiaina kipindi ambacho iko kwenye form nzuri. Maana hiko ndio kipindi ambacho timu inaiandaa na kuiset mioyo yetu ili ikaifunje vizuri.

Kama vile uko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mzuri kwa kipindi kirefu. Inafika hatua mapenzi yana shika hatamu kiasi kwamba akili yako inaamini kuwa huyo demu hawezi kuja kukucheat hata siku moja. Ndio wakati huo unaletewa video na mwana wakaribu ikionyesha demu huyo huyo anapumuliwa na muuza kahawa wa mtaa wa pili.

Sasa siku na wakati umefika. Msije sema sijawaambia. Taifa Stars anaenda kufa pale pale kwa Mkapa dhidi ya DR Congo.
Taifa stars mm Naiombea mema, ikamtandike huyo mkongo tufurahi pamoja, na ikitokea wakafungwa tuhuzunike pamoja lakini kwa sasa TWENDENI VITANI TAIFA.
 
Tunaweza kweli tukapita hapa ila kule kwenye playoff Tunaenda kukutana na clear cream ya African giants na hapo ndio wabongo mtajua hamjui
Hakuna jipya duniani. TZ tumejiandaa na tukitoka haitakuwa mara ya kwanza kwa timu kutolewa. Pamoja na yote haya bado INAWEZEKANA.
 
Back
Top Bottom