Shaurilo. Najamba kwa kaenda mbeleeeee.teh teh teh
jioni sina vijamboJamba tena sana na jioni kubalance equation
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nakula tu kawaida usiku .chakula kidogo au matunda inategemea. kujamba kunaanza kabla ya kupata haja kubwa.ninashtuliwa na vijambo maana vinakuwa vikubwa mno .nadhani nitakuwa najamba hata usingizini
mwisho wangu kula ni saa kumi na mbili jioni na nakula tu matunda ila bado hali ni ile ile
Du pole..nakula tu kawaida usiku .chakula kidogo au matunda inategemea. kujamba kunaanza kabla ya kupata haja kubwa.ninashtuliwa na vijambo maana vinakuwa vikubwa mno .nadhani nitakuwa najamba hata usingizini
kujamba kama mabomu sitaki afya hii mimiDu pole..
Lakini kujamba si afya. Kuna wengine wanatafuta kujamba.
mtoto anateseka sana na sauti za kujamba.kitunguu swaumu nimejaribu ndo naharibu nakijamba kizimakizima harufu ya kitunguu swaumu mbaya sanaKwa raha zako jamba kwani hujui unapunguza gesi tumboni. Pia mkeo akipika maharage aweke kitunguu swaumu kinasaidia sana kwa gesi.
mimi mchana sijambi kabisaNimewahi kufanya kazi na Mdenish flani naye alikuwa na tatizo kama lako.
Alikuwa anatumia vidonge fln km paracetamol, akisahau kutumia yaani siku nzima ving'ora, na wenzetu kuja.. sio aibu so alikuwa anangurumisha haswa tena mbele za watu. Watu wakicheka anashangaa. Vile vidongo alikuwa anatumia alikuwa anasema vinaondoa gesi tumboni.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mimi mchana sijambi kabisa
nikishaenda chooni asubuhi nakuwa kawaida ila alfajiri ni balaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sister nawe unafurahisha unavyotamka kwa kujiamini[emoji106]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nikishaenda chooni asubuhi nakuwa kawaida ila alfajiri ni balaaa
1:MinyooNaombeni msaada wa kitabibu nina tatizo la kujamba sana wakati wa kulala sanasana kipindi cha alfajiri.
sina shida yoyote ya tumbo ila asubuhi nakuwa nalipuka haswa.naombeni ushauri
Naombeni msaada wa kitabibu nina tatizo la kujamba sana wakati wa kulala sanasana kipindi cha alfajiri.
sina shida yoyote ya tumbo ila asubuhi nakuwa nalipuka haswa.naombeni ushauri
sawa nashukuru nitaenda kupima ila sina tatizo lolote la tumbo1:Minyoo
2:Typhoid
3:Ulcers
Jaribu jutumia Andrews liver salt kwa kunywa asubuhi.
Lakini pia nenda kapime minyoo (kunywa dawa ni sawa lakini kuna dawa badhi haziangamizi minyoo aina zote) bora kupima ili ikiwezekana ijulikane kama ni minyoo ni ya aina gani.
Lakini pia isije kuwa mchanganyiko wa matunda unayokula ndio hutengeneza hiyo E=MC² tumboni mwako.