Ninajamba sana ifikapo asubuhi


Mimi nawashangaa,wanaosa ooh vyakula . inajulikana wazi bongo maharage,ugali,wali Ndio vya kula vyetu. Eti usile vyakula vyenye gas!!!!ale nini sasa???pizza???wakati hana uwezo wa pizza,baga??? Acheni kuact.
Ukipata nafasi tifua tu litajisafisha lenyewe hewani juu kwa juu.

Sipendagi ujinga.
 
Mkuu wewe ni bidhaa adimu sana, nenda pale kinyerezi utusaidie hiyo Gesi yako.
 
naishi nae hana shida hata yeye ana tatizo .shida ni kwa kachanga ketu


Possible wote wawili mna tatizo la Lactose Intolarance ambalo husababishwa na tumbo kutoweza kumeng'enya Lactose (aina ya sukari asilia inayopatikana katika maziwa na mazao yatokanayo na maziwa) ipasavyo. Lactose inapopita kwenye utumbo mkubwa bila kumeng'enywa ipasavyo inasababisha dalili sumbufu kama vile tumbo kujaa gesi,maumivu ya tumbo na tumbo kuunguruma pamoja kujamba mara kwa mara.
Kama mna utaratibu wa kunywa maziwa au mazao yoyote yanayotokana na maziwa jaribu kuepuka.

Kumbuka hii sio mzio/allergy bali ni maumbile ya baadhi ya watu.
 
Jaribu na hii, utani pm ikikusaidia, nunua chupa ndogo ya apple cinder vinegar inauzwa 4500 , chukua glas kubwa ya maji ya uvuguvugu changanyia vizibo viwili vya apple cider kunywa kabla hujalala yaani ukisha kula ucku ukitaka lala kunywa, ukiamka pia Fanya hivyohivyo. Ukimaliza ciku mbili unafanya hivyo yatatu likajiludia muone doctor
 
Acha kula mayai ,viazi,na mahindi mchemsho,karanga mbichi na maziwa kwa wakati mmoja
 
Nitatafuta [HASHTAG]#KIKOPO[/HASHTAG] ukijamba utegeshe then uniletee NINUSE
 
Kama hauna amoeba basi utakuwa na taifodi kapime maake umesema si kawaida kapime
Mimi nimepima nina taifod,minyoo na amoeba ajabu nikitumia dawa siku inayofuatia ushuzi unaotoka inabidi niachiwe chumba kwa nusu saa maana ni sheeeda!!!!!
 
mtoto anateseka sana na sauti za kujamba.kitunguu swaumu nimejaribu ndo naharibu nakijamba kizimakizima harufu ya kitunguu swaumu mbaya sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti kizimakizima
 
bahati nzuri tunajamba mida ya kuamka labda wkend ndo tunateseka maana mabomu yakianza hakulaliki tena mtoto anashtuka anaanza kulia
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Naombeni msaada wa kitabibu nina tatizo la kujamba sana wakati wa kulala sanasana kipindi cha Alfajiri.

Sina shida yoyote ya tumbo ila asubuhi nakuwa nalipuka haswa.

Naombeni ushauri..
Napenda mademu mnaojamba jamba

Mnanipa mzuka sana wa kuwa fi.ra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…