Ninajitolea kutoa namba za machimbo ya China kwa wapambanaji wenzangu

Ukisikia tu PM
Ukasikia tu, Kada wa CCM asiye na njaa.
Hapo inabidi uwaachie wapambanaji anaowataka.

Sasa umeshindwa nini kuweka hapo kwenye post.
 
Wewe ni Sandaland au naibu meya wa jiji la hovyo (DSM)... mfanyabiashara msomi, bwana"Omary Yenga"....?!!?!
 
Sawa. Wamekusikia.
 
Ukisikia tu PM
Ukasikia tu, Kada wa CCM asiye na njaa.
Hapo inabidi uwaachie wapambanaji anaowataka.

Sasa umeshindwa nini kuweka hapo kwenye post.
Kama unaona ni utapeli unakaa zako pembeni. Halafu usinipangie kwenye uzi wangu. Kama kuna mtu PM nimemwomba namba, pesa au mimi kumpa namba yangu anaweza jitokeza. Acheni fikra za kimaskini
 
Boss nakuomb sana Nitumie Pm Tafadhalii
 
mkuu mm ndo nimeiona leo thread aisee naomba nisiadie connection ya hao suppliers au machimbo ya china nina uhitaji sana mkuu plzzzz



haswa simu, tv na electronics mbali mbali, mikoba, printers na viatu vya kike



namba yangu ni 0769939879
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…