Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Mupenzi amegawa tunda lakoMimi nimetoka kukutana na kitu kizito hukuu its so painfully lakin sina namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mupenzi amegawa tunda lakoMimi nimetoka kukutana na kitu kizito hukuu its so painfully lakin sina namna
Pole sana.man!!Nimekutafuta sana kwenye maisha,pamoja na kusoma sana na kuwa na akili nyingi naishi maisha magumu mno Tena ya kudharaulika.nina familia na watoto but nikama wife ananidharau baada ya kujipatia.nina hisi muda wowote anaweza kubipiga tukio kwa maana kauli zake siziekewi elewi.nahisi ya kuwa nilishapoteza dira siku nyingi.kimsingi nimepata hasara kwenye mambo mengi ambayo nimejaribu kuwekeza,nimeajiriwa but nahisi hakuna chochote naweza kufanya plus madeni niliyo nayo .siwezi kufanya jambo lolote la kumuumiza mtu mwingine.huwa nalaumiwa sana kwa vitu ambavyo sijafanya au siku husika nalo ,kimsingi ninachangamoto nyingi mno,sijui nifanyeje jamani
Nimekutafuta sana kwenye maisha,pamoja na kusoma sana na kuwa na akili nyingi naishi maisha magumu mno Tena ya kudharaulika.nina familia na watoto but nikama wife ananidharau baada ya kujipatia.nina hisi muda wowote anaweza kubipiga tukio kwa maana kauli zake siziekewi elewi.nahisi ya kuwa nilishapoteza dira siku nyingi.kimsingi nimepata hasara kwenye mambo mengi ambayo nimejaribu kuwekeza,nimeajiriwa but nahisi hakuna chochote naweza kufanya plus madeni niliyo nayo .siwezi kufanya jambo lolote la kumuumiza mtu mwingine.huwa nalaumiwa sana kwa vitu ambavyo sijafanya au siku husika nalo ,kimsingi ninachangamoto nyingi mno,sijui nifanyeje jamani
Nimekutafuta sana kwenye maisha,pamoja na kusoma sana na kuwa na akili nyingi naishi maisha magumu mno Tena ya kudharaulika.nina familia na watoto but nikama wife ananidharau baada ya kujipatia.nina hisi muda wowote anaweza kubipiga tukio kwa maana kauli zake siziekewi elewi.nahisi ya kuwa nilishapoteza dira siku nyingi.kimsingi nimepata hasara kwenye mambo mengi ambayo nimejaribu kuwekeza,nimeajiriwa but nahisi hakuna chochote naweza kufanya plus madeni niliyo nayo .siwezi kufanya jambo lolote la kumuumiza mtu mwingine.huwa nalaumiwa sana kwa vitu ambavyo sijafanya au siku husika nalo ,kimsingi ninachangamoto nyingi mno,sijui nifanyeje jamani
Ni kweli mkuu. Hata kama sio kwenda wodi ya kansa awe na ratiba ya kwenda kusalimia wagonjwa hospitalini. Kiakili na kiroho atapata tibaMtu kama wewe unatakiwa upewe tour ya wodi ya wagonjwa wa kansa, na ujapowahoji wangali na matumaini...
Naamini akili yako itapata akili na kutambua sababu ya kuishi...
Pole sana nachelea kuuliza kwamba kwenye familia uliyotoka ina wasomi wa level yako kwa kiasi gani ila ni seme tu kwamba haya mambo huwa ni maagano wakati mwingine.Nimekutafuta sana kwenye maisha,pamoja na kusoma sana na kuwa na akili nyingi naishi maisha magumu mno Tena ya kudharaulika.nina familia na watoto but nikama wife ananidharau baada ya kujipatia.nina hisi muda wowote anaweza kubipiga tukio kwa maana kauli zake siziekewi elewi.nahisi ya kuwa nilishapoteza dira siku nyingi.kimsingi nimepata hasara kwenye mambo mengi ambayo nimejaribu kuwekeza,nimeajiriwa but nahisi hakuna chochote naweza kufanya plus madeni niliyo nayo .siwezi kufanya jambo lolote la kumuumiza mtu mwingine.huwa nalaumiwa sana kwa vitu ambavyo sijafanya au siku husika nalo ,kimsingi ninachangamoto nyingi mno,sijui nifanyeje jamani
Maamuzi gani magumu unataka kuchukua ?Nimekutafuta sana kwenye maisha,pamoja na kusoma sana na kuwa na akili nyingi naishi maisha magumu mno Tena ya kudharaulika.nina familia na watoto but nikama wife ananidharau baada ya kujipatia.nina hisi muda wowote anaweza kubipiga tukio kwa maana kauli zake siziekewi elewi.nahisi ya kuwa nilishapoteza dira siku nyingi.kimsingi nimepata hasara kwenye mambo mengi ambayo nimejaribu kuwekeza,nimeajiriwa but nahisi hakuna chochote naweza kufanya plus madeni niliyo nayo .siwezi kufanya jambo lolote la kumuumiza mtu mwingine.huwa nalaumiwa sana kwa vitu ambavyo sijafanya au siku husika nalo ,kimsingi ninachangamoto nyingi mno,sijui nifanyeje jamani
Ukijitiisha tiisha huruma na kujifanya kila jambo unamshirikisha mkeo lazima akudharau sana na atajifeel hayuko safe so automatically atajiongeza.Mistake ambayo wanaume ufanya ni kumweka mwanamke wazi kila kitu !
Kama maisha ni magumu mpe proposal tamu za kuwa kuna jambo unasubiria kwa miaka Kama miwili Huku ukichora chora madraft yako! Wao uwa wanataka kusikia mambo mazuri masikio mwao tu ! Ukimwambia Mara nataftwa na polis au nimefukuzwa kazi au maisha magumu Onhoo haha
Usioneshe uzembe wako kwa mwanamke hata siku moja
Narudia mwanamke asikusome kabisa !
Umedai umesoma sana na una akili nyingi ila mwandiko wako unapingana nawe. Unaandika kama umeishia kidato cha pili kwa kufeli NECTA.Nimekutafuta sana kwenye maisha,pamoja na kusoma sana na kuwa na akili nyingi naishi maisha magumu mno Tena ya kudharaulika.nina familia na watoto but nikama wife ananidharau baada ya kujipatia.nina hisi muda wowote anaweza kubipiga tukio kwa maana kauli zake siziekewi elewi.nahisi ya kuwa nilishapoteza dira siku nyingi.kimsingi nimepata hasara kwenye mambo mengi ambayo nimejaribu kuwekeza,nimeajiriwa but nahisi hakuna chochote naweza kufanya plus madeni niliyo nayo .siwezi kufanya jambo lolote la kumuumiza mtu mwingine.huwa nalaumiwa sana kwa vitu ambavyo sijafanya au siku husika nalo ,kimsingi ninachangamoto nyingi mno,sijui nifanyeje jamani
KabisaMwanaume thamani yako unaitafuta, 😢mwanamke anazaliwa nayo