ha ha h a a a a!Tatizo ni korodani moja au ni mtambo kama unafanya kazi? Pia je mpaka leo umeshaona hata mbegu zako? Kama umeziona kazijaribie kwenye shamba zuri lenye mbolea safi na rutuba. Matokeo ni miezi tisa. Kumbuka mbegu inayoleta mtoto ni moja si mia. Namjua mtu mwenye korodani moja lakini watoto wake ni healthy saana mpaka hata wajukuu zake wanafanana na yeye.
Pia, elewa wapo wenye 2 lakini hawana hata mche mmoja duniani
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 na ninakorodani moja tatizo hili nilizaliwa nalo.je naweza kuzaa?
Naombeni msaada wenu kwasababu tatizo hili limekuwa likininyima raha kwa muda mrefu
Kuzaa huwezi ila kuzalisha unaweza
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 na ninakorodani moja tatizo hili nilizaliwa nalo.je naweza kuzaa?
Naombeni msaada wenu kwasababu tatizo hili limekuwa likininyima raha kwa muda mrefu
Mmh kweli duniani kuna maajabu...pole
tafuta binti ufanye majaribio.! Hata kama unazo zote unaweza usizae.
Hiyo moja itakuwa kubwa sana...
Hujawahi ona? mie ninayo nusu.
Hiyo moja itakuwa kubwa sana...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 na ninakorodani moja tatizo hili nilizaliwa nalo.je naweza kuzaa?
Naombeni msaada wenu kwasababu tatizo hili limekuwa likininyima raha kwa muda mrefu
ndugu yangu pumbu moja si hoja, hoja ni je mzigo una kwenda hewani, je pumbu lako moja lina toa mbegu zilizo na afya njema kuweza kurutubisha yai la mwanamke? Kama majibu yake ni ndiyo basi una uwezo wa kumtia mimba mwananke. Mimi mwenyewe ni na kengele moja na nimejaaliwa watoto watatu!