Ninakosea wapi? Au biashara ni kipaji?

Ninakosea wapi? Au biashara ni kipaji?

Kuna wakati mwingine tunaona biashara inalipa kabisa ila huioni hiyo hela unayoitegemea

Kama biashara ni ya kumuachia mtu akufanyie hata uchunge vipi kama anataka kupiga anakupiga tu

Unaweza kukuta wateja wengi ila mauzo madogo upande wako kumbe na muuzaji ana biashara yake humo humo akiuza bidhaa zake hizo hizo kama zako
Mwisho wa siku bidhaa zako anauza na zake pia
Sio wote wanaofanya hivi ila wapo wanaofanya hivyo kwenye biashara za watu

Usife moyo bado unafanya vizuri kwa mtaji huo ila angalia mianya yote
 
Kuna wakati mwingine tunaona biashara inalipa kabisa ila huioni hiyo hela unayoitegemea

Kama biashara ni ya kumuachia mtu akufanyie hata uchunge vipi kama anataka kupiga anakupiga tu

Unaweza kukuta wateja wengi ila mauzo madogo upande wako kumbe na muuzaji ana biashara yake humo humo akiuza bidhaa zake hizo hizo kama zako
Mwisho wa siku bidhaa zako anauza na zake pia
Sio wote wanaofanya hivi ila wapo wanaofanya hivyo kwenye biashara za watu

Usife moyo bado unafanya vizuri kwa mtaji huo ila angalia mianya yote
kunusuru asipotee Kwenye game. Anapaswa kubadili mfanyakazi, au akae mwenyewe
 
Nasema kwa uzoefu na ndio ukweli,
Mauajiriwa Ukitaka kufanya biashara serious acha ajira ingia kwenye biashara Kwa miguu yote miwili.

Hizi biashara waajiriwa wanazofungua Na kuweka vijana wa kazi haziwezi kamwe kukutoa
 
Ni kwel mkuu...madin matupu..aisee kipind naanza anza vijana wa kaz waliniumiza sana..nilikua na huruma sana..ila badae nikaja gundua ni washe.nzi kulikoo..yaan mim nilivyokua nawa treat kama ndugu kumbe wa.senge walikua wananilia timing tuu...aisee sasa hiv nmekua katil had najiogopa..yaan mim ku fire [emoji91] mtu in a second sion shida kabisa...tena aka.nye mav.i mbele huko
Kabisa[emoji106]
Biashara Haina undugu, biashara Haina dini Wala kujuana.

Biashara ukiiendesha kijamaa lazima ufeli.

Biashara inatakiwa kuendesha kibepari, na ubepari lazima uendane na unyonyaji, ukatili na roho ngumu kiasi chake.
 
wewe ni mpare au maana hata zako nao bahili ila hawajafika huku
KiBiashara ukiwa mtu wa matumizi Sana, kupoteza Kwenye game ni dkk sifuri.

KiBiashara,
Unaweza ukawa unaingiza faida ya million kila sikU, kwa mwezi mzima mfulurizo ukagota 30 million profit.

Afu ghafla umepata bingo la mzigo wakusafisha stoo au haujalipiwa ushuru au mwenyewe anahama au kabadilisha biashara anauuza ROBO YA BEI, Anauza million 30 chap.

Na wee unaona kabisa huu mzgo, nikachukua unaleta million 120 chap.

Sasa
Kama bahat mbaya huna akiba ya mil 30 kuulipia Chap (wee faida ukipata unakulaga),
Unakua tayar umeshapishana na BINGO la fasta.

AU BAHAT MBAYA IMETOKEA,
Majanga yametokea (Moto,wezi,kesi n.k) inahitajika mil 30 ikutoke mfukoni chap uweze kuchomoka Kwenye msala, vingenvyo unatangazwa umefilisika.

Sasa Kama mwenzangu na mie,
Mzee wa kulaga faida, Inakua ndio baibai tunasahau kwenye GAME.

MFANYABISHARA UNAPASWA KUSPEND LOW as much as you can.

Biashara hazitabiriki,
Unaeza amka maskini, ukalala tajiri
Au ukaamka tajiri, ukalala maskini.

YOTE YANAWEZEKANA
 
Nasema kwa uzoefu na ndio ukweli,
Mauajiriwa Ukitaka kufanya biashara serious acha ajira ingia kwenye biashara Kwa miguu yote miwili.

Hizi biashara waajiriwa wanazofungua Na kuweka vijana wa kazi haziwezi kamwe kukutoa

Biashara unafungua mwenyewe na kuamua hivyo ila eti kufungua biashara na kumuweka kijana hapo umemfungulia baishara yeye na sio yako tena
 
Mfanyakazi wa sheli mwenye mauzo ya million 6 kwa sikU (double ya mtaji wako),
Analipwa elfu 80 kwa mwezi, na posho ya elfu 5 kwa siku

Wewe mwenye mtaji wa million 3,
Unajitutumua unamlipa mshahara wa 100,000.

Mkuu nikwambie TU ukweli,
Ukishaingia Kwenye ujasiliamali lazima ujue kua bahili na usiwe na roho ya huruma kijinga jinga.

Unapaswa kulipa kutokana na unachoingiza, na Sio kuangalia sura Wala Roho mtakatifu.

Kwenye biashara hizi za kibepari,
Ukijifanya msamalia mwema, Unapotea Kwenye GAME faster.

Kaulizie mishahara anayolipa MO-Dewji kwenye biashara zake, afu utanipa majibu.
Nakuuzia 6M kwa siku halafu unanipa 80K kwa mwezi?

Na bado unaniona nakuja ofisini kila siku haushtuki kwamba pengine nakuibia sana?

Mzee Ashanti acha roho ngumu.
 
Boss tunatofautiana mitaji nadhani, 🙂 🙂
Tatizo Sio mtaji.
Tatizo Ni MGAWANYO wako wa mapato yako kulinganisha na mzunguko pamoja na mtaji wako.

Kwa Aina ya biashara yako,
Na maelezo niliyotoa hapo juu.

Hupaswi kuweka mfanyakazi,
Kwa maana sioni gepu linalokuruhusu wewe kupata mshahara wa kumlipa mfanyakazi.
 
Mtoa mada nakushauri Jambo moja.

Kwenye iyo biashara yako,
Ondoa uyo mfanyakazi.

Weka mkeo,
Kama ujaoa ,oa haraka ili ujipatie cheap labor kwa msimamizi mzuri kabisa wa biashara yako.

NB: ndugu nao sikuhizi Ni magumashi. Niulize kwanini
 
Ni mfanyakazi sehemu kwa hiyo hawezi kukaa mwenyewe
Ni kuangalia bidhaa zake kwa kuzihesabu na kushtukiza mara kwa mara kwa kufanya stock take
Haiwezi kusaidia,
Biashara aweke mkewe au Kama hajaoa aoe MKE ajipatie CHEAP LABOUR mwenye uchungu na biashara.

Hizi biashara changa za kuweka watu baki, ata usimamie vipi Ni ngumu Sana kutoboa.

Na hata ukitoboa, itakua Ni mbinde Sana kusurvive.
 
Mtoa mada nakushauri Jambo moja.

Kwenye iyo biashara yako,
Ondoa uyo mfanyakazi.

Weka mkeo,
Kama ujaoa ,oa haraka ili ujipatie cheap labor kwa msimamizi mzuri kabisa wa biashara yako.

NB: ndugu nao sikuhizi Ni magumashi. Niulize kwanini
Hahahha.mama.e ...model zako si mchezo..kwamba mwana aoe apate cheap labor..nmekubaliiiiii...hyo nayo ni technique aisee...noma sana
 
Haiwezi kusaidia,
Biashara aweke mkewe au Kama hajaoa aoe MKE ajipatie CHEAP LABOUR mwenye uchungu na biashara.

Hizi biashara changa za kuweka watu baki, ata usimamie vipi Ni ngumu Sana kutoboa.

Na hata ukitoboa, itakua Ni mbinde Sana kusurvive.

Haya mambo ya kufungua biashara na kumpa mtu aiendeshe ilikuja kwa wale wa money laundering
Halafu ikawa kila anaefanya kazi anataka awe na kibiashara pembeni na mwisho wa siku kimshahara kinaishia kwenye biashara

Kama unaamua kufanya biashara mimi nashauri bora unapiga kazi kwa malengo ukijua utakusanya hata miaka mitano halafu unaachana na kazi huku ukiwa umejua utafanya nini

Kuhusu kuoa sio mbaya ni uamuzi mzuri kwani hapo umewekeza kwa kila kitu
Ila ndugu hapana na mtu baki ndio kabisaaa
 
Hahahha.mama.e ...model zako si mchezo..kwamba mwana aoe apate cheap labor..nmekubaliiiiii...hyo nayo ni technique aisee...noma sana
Mkeo huwez kumlipa mshahara,
Mkeo hawezi kukuibia,
Mkeo hawezi kukuhujumu,

Tena MKE ulieshazaa nae mtoto zaidi ya mmoja atakua na uchungu na biashara kuliko hata wewe mwenye BIASHARA.

Mkeo akizingua Unaweza kumuwasha hata makofi ili biashara ikae Kwenye mstari, na Mambo yakaenda.

Mfanyakazi au Mtu Baki,
Ukimzingua mtapelekana hata polisi na anaweza kurevenge kupitia biashara yako.
Hii haiwezi tokea kamwe kwa mkeo.
 
Nasema kwa uzoefu na ndio ukweli,
Mauajiriwa Ukitaka kufanya biashara serious acha ajira ingia kwenye biashara Kwa miguu yote miwili.

Hizi biashara waajiriwa wanazofungua Na kuweka vijana wa kazi haziwezi kamwe kukutoa
Huu ndo ukweli lazima ajira uiweke pembeni uingie mzma mzma kwenye biashara. . hz habari za kusema et unaongeza kipato Kwa kufungua biashara huku unafanya kazi. .utaishia kunufaisha watu
 
Kabisa[emoji106]
Biashara Haina undugu, biashara Haina dini Wala kujuana.

Biashara ukiiendesha kijamaa lazima ufeli.

Biashara inatakiwa kuendesha kibepari, na ubepari lazima uendane na unyonyaji, ukatili na roho ngumu kiasi chake.
Nakubali mkuu
 
We mwalimu wa shule ya msingi, usituchanganyie madesa, narudia tena usituchanganyie madesa[emoji4]
 
Mtoa mada nakushauri Jambo moja.

Kwenye iyo biashara yako,
Ondoa uyo mfanyakazi.

Weka mkeo,
Kama ujaoa ,oa haraka ili ujipatie cheap labor kwa msimamizi mzuri kabisa wa biashara yako.

NB: ndugu nao sikuhizi Ni magumashi. Niulize kwanini
Ndugu wanachangamoto gan
 
Kama wadau hapo juu
Mshahara wa mtu kwa mwezi atleast uwe 10% ya faida yako
Mdau kwa mwezi faida haifiki 1m unamlipa mtu 100k doh na usafiri juu hapo bado hajafanya yake
 
Back
Top Bottom