Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna wakati mwingine tunaona biashara inalipa kabisa ila huioni hiyo hela unayoitegemea
Kama biashara ni ya kumuachia mtu akufanyie hata uchunge vipi kama anataka kupiga anakupiga tu
Unaweza kukuta wateja wengi ila mauzo madogo upande wako kumbe na muuzaji ana biashara yake humo humo akiuza bidhaa zake hizo hizo kama zako
Mwisho wa siku bidhaa zako anauza na zake pia
Sio wote wanaofanya hivi ila wapo wanaofanya hivyo kwenye biashara za watu
Usife moyo bado unafanya vizuri kwa mtaji huo ila angalia mianya yote
Kama biashara ni ya kumuachia mtu akufanyie hata uchunge vipi kama anataka kupiga anakupiga tu
Unaweza kukuta wateja wengi ila mauzo madogo upande wako kumbe na muuzaji ana biashara yake humo humo akiuza bidhaa zake hizo hizo kama zako
Mwisho wa siku bidhaa zako anauza na zake pia
Sio wote wanaofanya hivi ila wapo wanaofanya hivyo kwenye biashara za watu
Usife moyo bado unafanya vizuri kwa mtaji huo ila angalia mianya yote