Ninakosea wapi? Au biashara ni kipaji?

Mtoa mada nakushauri Jambo moja.

Kwenye iyo biashara yako,
Ondoa uyo mfanyakazi.

Weka mkeo,
Kama ujaoa ,oa haraka ili ujipatie cheap labor kwa msimamizi mzuri kabisa wa biashara yako.

NB: ndugu nao sikuhizi Ni magumashi. Niulize kwanini

Mke ndio mtu pekee wakuweza kukusaidia, achilia ndugu hata watoto ni mazonge matupu.
 
Wachangiaji wanamtia sumu mbaya mleta mada kwa mfanayakazi wake, Ndio haohao hulalamikia wahindi wanalipa hela ndogo, lakini wao ni wanyonyaji kinoma ndani ya nasi zao.
 
Bruh CONTROLA nifungulie pm kuna jambo nahitaji kuteta nawe kama hutojali,natanguliza shukrani,
 
Jaribu kuongeza huduma Mfano upigaji wa picha za pasport size, Kupiga picha za ukutani na kutengeneza flame za picha, utengenezaji wa kadi za harusi, utengenezaji wa business card.... nk. Pia jaribu kutembelea mashule na vituo vya afya ili uwe mzabuni wa vifaa vya ofisi

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kabisa ulichoongea kwa experience yangu ya biashara ni unakusanya kidogo kidogo watu wenye ajira hawawezi elewa hivi vitu na mtu lazima ufwatilie trend ya biashara unajua sometimes mtu unafungua biashara unaweka mtu akuletee pesa tu hiyo haipo lazima ujue trend ya biashara na numbers hapo utaweza kufanikiwa kwa kiasi kikubwa
 
Mie nakupongeza tu kwa mshahara mkubwa....wengine mishahara yao haitoshi kula ugali na matembele mwezi mzima!

Punguza matumizi ya kuendeshea biashara...anza na mshahara wa mfanyakazi....kodi ya nyumba nk

Pili jitahidi uwepo golini kila siku baada ya majukumu yako utajifunza mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…