Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
Kawafungulie Chadema kesi yako ili Nipàte sababu ya kumfungulia kesi mumeo ya kuoa taaihira.Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi chadema ya udhalilishaji wa kijinsia...
Covid 19 ni jina walilopewa na jamii, ili watambue dhambi ya usaliti ilivyo mbaya !!kingine nimewaagiza wwaangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid 19
Wewe mwenyewe tayali unakosa ,kwa kuwaita Covid 19.Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi chadema ya udhalilishaji wa kijinsia...
Mwenzetu leo umelivuta lile la kutoka Uganda, si uliambiwa kabla ya kulivuta uhakikishe umekula makongolo ya kitimoto, ona sasa unaharibikiwa.Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi chadema ya udhalilishaji wa kijinsia...
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.
Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.
Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.
Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.
Kila kitu kitakuwa wazi
Ningekuwa na uwezo wa kukutana na hao akina mama ningewashauri waachane na mambo ya kuviziana Kama paka na panya, watafute muafaka Kama bado wanakipenda chadema.Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.
Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.
Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.
Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.
Kila kitu kitakuwa wazi
Hao ni wajinga sana, walipewa muda wakapuuzia, wakashauriwa hawataki kusikia wala hawataki kujitetea.Ningekuwa na uwezo wa kukutana na hao akina mama ningewashauri waachane na mambo ya kuviziana Kama paka na panya, watafute muafaka Kama bado wanakipenda chadema.
Nasema hivyo kwa sababu Kama maridhiano yatafanyika lazima wasimamishwe
asante my dia sistaNenda hapo mahakama kuu, wapo wanasheria wanangojea kazi, ukaseme walivyodhalilishwa na usisahau wanavyotuibia kodi zetu kwa kulipwa posho huku wakiwa feki.
Vipi kuhusu Sofia Simba?Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.
Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.
Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.
Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.
Kila kitu kitakuwa wazi
Alikuwa kwao anashinda na nyani shambaniVipi kuhusu Sofia Simba?
Au enzi hizo ulikuwa hujazaliwa?