Ninakusudia kuishitaki CHADEMA kwa udhalilishaji wa kijinsia

Ninakusudia kuishitaki CHADEMA kwa udhalilishaji wa kijinsia

Duh kweli watu mna shuguli za kufanya

Ova
 
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.

Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.

Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.

Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.

Kila kitu kitakuwa wazi
Wanataka mademu zao akina Lucy Owenya na wenzao ndo wapewe Ubunge
 
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.

Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.

Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.

Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.

Kila kitu kitakuwa wazi
wewe mwenyewe covid-1
kashtaki na hili pia
 
Jf kwa kujifariji tu
Watu wako vizuri

Ova
 
Jina la covid 19 limetokana na wao kuwa 19 na tukio limetokea wakati wa covid .

Halafu mkuu sikia ,acha kutafuta kiki JF , wenye maamuzi magumu huwa kesi wanazifungua kimyakimya halafu tunakuja kuletewa habari humu ,sasa we umekuja huku umeambiwa JF inasikiliza kesi?
 
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.

Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.

Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.

Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.

Kila kitu kitakuwa wazi
I doupt kama una uwezo huo. But sikukatazi japokuwa ushauri wangu hiko unachotaka kufanya ni upotevu wa muda na pesa
 
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.

Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.

Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.

Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.

Kila kitu kitakuwa wazi
ungeanza kumshtaki huyu aliemtukana mama ndio ungeonekana angalao unaakili
 
Nenda hapo mahakama kuu, wapo wanasheria wanangojea kazi, ukaseme walivyodhalilishwa na usisahau wanavyotuibia kodi zetu kwa kulipwa posho huku wakiwa feki.
huyu chawa hivi ni mzima kweli..
 
Kwani we neno COVID 19 unalielewaje? 😁 Hii kesi nakuruka vizuri na utalipa fidia
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.

Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.

Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.

Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.

Kila kitu kitakuwa wazi
 
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.

Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.

Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.

Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.

Kila kitu kitakuwa wazi
Kama upo serious basi hunakazi ya kufanya.
 
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.

Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.

Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.

Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.

Kila kitu kitakuwa wazi

Unafahamu maana ya udhalilishaji wa kijinsia.
 
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.

Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.

Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.

Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.

Kila kitu kitakuwa wazi
Mpaka hapo bado hujaua uwashitaki kwa kosa gani..!! lakini dhamira unayo..!! Kweli kazi ipo.. Wenzio kwanza unaliona kosa then unaenda kufungua kesi..!!
 
Covid 19 ni jina walilopewa na jamii, ili watambue dhambi ya usaliti ilivyo mbaya !!

Dunia ya leo ina regard wanawake kama viumbe wagumu mno kurubuniwa hasa kwa kikundi unaweza kufanya hivyo kwa mmoja lakini si zaidi ya watatu na kuendelea, sasa walichofanya hawa Covid 19 ni kufifisha jitihada za wanawake wenzao ambao wanataka kuiaminisha jamii ya ulimwengu mzima kwamba wao ni ngangali na hawarubuniwi kwa pipi na ujira wa muda mfupi.
Yale yale ya kusema kijana amemtukana JPM... Walivyoambiwa wataje majina kwa urefu wakashindwa..!! Hakimu akawauliza JPM haina maana ya Juma Maharage Pondamali?
 
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.

Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.

Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.

Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.

Kila kitu kitakuwa wazi
kashitaki tu dadangu ila nakukumbusha usiseme hukuambiwa mapema. JIANDAE NA KULIPA GHARAMA ZOTE ZA UENDESHAJI NA PIA KUMLIPA FIDIA ULIEMSHITAKI PINDI KESI ITAPOISHA.
Nakukumbushatena usisahau hili.
 
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.

Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.

Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.

Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.

Kila kitu kitakuwa wazi
Pumbafu unataka kuwaibia COVID 19 pesa au labda Unataka attention kupitia wao! Wale hawaitaji huruma au utetezi wako, wanajiweza! Wengine wana wake zao na ni ‘wanaume’ kuliko wewe!
Kuna wanawake wanaonyanyaswa sana, labda hata mama yako na dada zako, kama una ubavu kawatetee hao! Kusema utaishitaki CHADEMA kuhusu mzee Halima na wake zake, Ni kiki tu, tena za kitoto!
 
Yaano mbowe aache vitoto vibich vya chuo hapo town aende kwa sauti zege, em acheni utani wa ngumi basi.
 
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.

Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.

Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.

Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.

Kila kitu kitakuwa wazi
Ofisi yako ipo wapi bwana mwehu?
 
Back
Top Bottom