Ninakusudia kuishitaki CHADEMA kwa udhalilishaji wa kijinsia

Duh kweli watu mna shuguli za kufanya

Ova
 
Wanataka mademu zao akina Lucy Owenya na wenzao ndo wapewe Ubunge
 
wewe mwenyewe covid-1
kashtaki na hili pia
 
Jf kwa kujifariji tu
Watu wako vizuri

Ova
 
Jina la covid 19 limetokana na wao kuwa 19 na tukio limetokea wakati wa covid .

Halafu mkuu sikia ,acha kutafuta kiki JF , wenye maamuzi magumu huwa kesi wanazifungua kimyakimya halafu tunakuja kuletewa habari humu ,sasa we umekuja huku umeambiwa JF inasikiliza kesi?
 
I doupt kama una uwezo huo. But sikukatazi japokuwa ushauri wangu hiko unachotaka kufanya ni upotevu wa muda na pesa
 
ungeanza kumshtaki huyu aliemtukana mama ndio ungeonekana angalao unaakili
 
Nenda hapo mahakama kuu, wapo wanasheria wanangojea kazi, ukaseme walivyodhalilishwa na usisahau wanavyotuibia kodi zetu kwa kulipwa posho huku wakiwa feki.
huyu chawa hivi ni mzima kweli..
 
Kwani we neno COVID 19 unalielewaje? 😁 Hii kesi nakuruka vizuri na utalipa fidia
 
Kama upo serious basi hunakazi ya kufanya.
 

Unafahamu maana ya udhalilishaji wa kijinsia.
 
Mpaka hapo bado hujaua uwashitaki kwa kosa gani..!! lakini dhamira unayo..!! Kweli kazi ipo.. Wenzio kwanza unaliona kosa then unaenda kufungua kesi..!!
 
Yale yale ya kusema kijana amemtukana JPM... Walivyoambiwa wataje majina kwa urefu wakashindwa..!! Hakimu akawauliza JPM haina maana ya Juma Maharage Pondamali?
 
kashitaki tu dadangu ila nakukumbusha usiseme hukuambiwa mapema. JIANDAE NA KULIPA GHARAMA ZOTE ZA UENDESHAJI NA PIA KUMLIPA FIDIA ULIEMSHITAKI PINDI KESI ITAPOISHA.
Nakukumbushatena usisahau hili.
 
Pumbafu unataka kuwaibia COVID 19 pesa au labda Unataka attention kupitia wao! Wale hawaitaji huruma au utetezi wako, wanajiweza! Wengine wana wake zao na ni ‘wanaume’ kuliko wewe!
Kuna wanawake wanaonyanyaswa sana, labda hata mama yako na dada zako, kama una ubavu kawatetee hao! Kusema utaishitaki CHADEMA kuhusu mzee Halima na wake zake, Ni kiki tu, tena za kitoto!
 
Yaano mbowe aache vitoto vibich vya chuo hapo town aende kwa sauti zege, em acheni utani wa ngumi basi.
 
Ofisi yako ipo wapi bwana mwehu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…