Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Ninalaani sana ukatili aliofanyiwa mtoto wa Dodoma, Jambo la kujifunza wazazi wekeni umakini kwa wasaidizi wenu majumbani.
Soma Pia: Utata wa kifo cha mtoto wa kufikia wa Chief Godlove, inakuwaje apandishwe bodaboda peke yake?
Na pia kwa wadada ukiamua kupata mtoto / watoto ambao bado wako katika hatua za uangalizi acheni mambo ya starehe kujirusha , tenga muda wako katika kulea na kumlinda mtoto kwa umakini
Soma Pia: Utata wa kifo cha mtoto wa kufikia wa Chief Godlove, inakuwaje apandishwe bodaboda peke yake?
Na pia kwa wadada ukiamua kupata mtoto / watoto ambao bado wako katika hatua za uangalizi acheni mambo ya starehe kujirusha , tenga muda wako katika kulea na kumlinda mtoto kwa umakini