Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Kwakweli inasikitishaMama muza papa unategemea nini
Ova
Ulishawahai kulaani pia kupotea kwa kina Soka na wenzake? Kifo cha Ali Kibao?Ninalaani sana ukatili aliofanyiwa mtoto wa Dodoma, Jambo la kujifunza wazazi wekeni umakini kwa wasaidizi wenu majumbani.
Soma Pia: Utata wa kifo cha mtoto wa kufikia wa Chief Godlove, inakuwaje apandishwe bodaboda peke yake?
Na pia kwa wadada ukiamua kupata mtoto / watoto ambao bado wako katika hatua za uangalizi acheni mambo ya starehe kujirusha , tenga muda wako katika kulea na kumlinda mtoto kwa umakini
So sad , nahisi pia Imani za kishirikina zinahusikaNi ukatili mkubwa.
Mtoto alikuwa anajilea mwenyewe masikini.
Hapo mzazi anarudi asubuhi amepombeka kweli atamkumbuka mtoto ?
Mtoto malaika alijiona akiuliwa πππ
Mungu lipa kisasi mwenyewe, tena usichelewe Bwana. ππ