demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Furaha imewatanda kuondoshwa kwa Omog. Je mmewahi kuwaza ni jinsi gani huyu Kocha msaidizi Masoud Djuma ataweza kuiongoza Klabu yenu mzunguko wa pili unaokuja kuanza ukizingatia Jamaa ni mgeni kwenye Ligi Kuu ya Tanzania?
Kufukuzwa kwa Omog katika kipindi hiki cha dirisha dogo haikuwa jambo la Busara.
Ninachotegemea mimi ni kuwa Masoud Djuma atakuwa akijaribu kuinject falsafa yake kwenye timu wakati klabu inaendelea na mechi za mzunguko wa pili....Hivyo basi hii itapelekea timu yenu kuteteleka huku wachezaji wakijaribu kuenenda na falsafa ya mwalimu.
Hovyo naona Mzunguko wa pili ni karata turufu kwa Klabu ya Simba kuukosa Ubingwa rasmi.
Kufukuzwa kwa Omog katika kipindi hiki cha dirisha dogo haikuwa jambo la Busara.
Ninachotegemea mimi ni kuwa Masoud Djuma atakuwa akijaribu kuinject falsafa yake kwenye timu wakati klabu inaendelea na mechi za mzunguko wa pili....Hivyo basi hii itapelekea timu yenu kuteteleka huku wachezaji wakijaribu kuenenda na falsafa ya mwalimu.
Hovyo naona Mzunguko wa pili ni karata turufu kwa Klabu ya Simba kuukosa Ubingwa rasmi.